MWONGOZO WA MWANGALIZI MWONGOZO WA MWANGALIZI Toleo la Pili (2021) © 2021 International Bank for Reconstruction and Development / The World Bank 1818 H Street NW, Washington, DC 20433 Telephone: 202-473-1000; Internet: www.worldbank.org Baadhi ya haki zimehifadhiwa. Kazi hii ni mali ya Benki ya Dunia na michango kutoka kwa wadau wa nje. Matokeo, tafsiri, na hitimisho iliyoonyeshwa katika kazi hii siyo mitizamo ya Benki ya Dunia, Baraza lake Kuu la Wakurugenzi Watendaji, au serikali wanazowakilisha. Benki ya Dunia haihakikishi usahihi wa taarifa zilozojumuishwa katika kazi hii. Hakuna kitu hapa kitakachofanyika au kuchukuliwa kuwa kikomo au kuondolewa kwa upendeleo na kinga ya Benki ya Duania, ambazo zote zimehifadhiwa Haki na Vibali Kazi hii inapatikana kwa kutumia leseni ya Creative Commons Attibution 4.0 IGO (CC BY 4.0 IGO) https//creativecommons.org/licenses/by/4.0/. Kwa kutumia leseni ya Creative Commons Attribution, uko huru kunakili, kusambaza, na kurekebisha kazi hii, ikiwa ni pamoja na madhumuni ya kibiashara, chini ya masharti yafuatayo: Sifa – Tafadhali nukulu kazi kama ifuatavyo: Molina, Ezequiel, Adelle Pushparatnam, Carolina Melo, Tracy Wilichowsk, Ana Teresa del Toro Mijares, Elaine Ding, Jenny Beth Aloys, Emma Carter, and Nidhi Singal (2021). Teach Primary (Toleo la Pili). Washington, DC: The World Bank. License: Creative Commons Attribution CC BY 4.0 IGO. Tafsiri – ikiwa utatafsiri kazi hii, tafadhali ongeza kanusho lifuatalo ikiambatana na sifa: Tafsiri hii haikufanywa na Benki ya Dunia na haipaswi kuchukuliwa kuwa tafsiri rasmi ya Benki ya Dunia. Benki ya Dunia haitawajibika kwa maudhui yoyote au kosa katika tafsiri hii. Marekebisho – Kama unafanya marekebisho ya kazi hii, tafadhali ongeza kanusho lifuatalo likiambatana na sifa: Hili ni rekebisho ya kazi ya awali ya Benki ya Dunia. Mawazo na maoni yaliyotolewa katika marekebisho ni jukumu pekee la mwandishi au waandishi wa makekebisho na hayakupendekezwa na Benki ya Dunia. Maudhui ya mtu wa tatu:Benki ya Dunia haimiliki kila sehemu ya maudhui yaliyomo ndani ya kazi. Hivyo, Benki ya Dunia inathibitisha kuwa ukitumia sehemu ya kazi inayomilikiwa na watu wa tatu au sehemu zilizomo katika kazi haitakiuka haki za hao watu wa tatu. Hatari za madai yanayotokana na ukiukwaji huu utakuwa juu yako. Ikiwa unataka kutumia tena sehemu ya kazi, ni jukumu lako kuamua ikiwa ruhusa inatakiwa kwa matumizi hayo na kupata ruhusa kutoka kwa mmiliki. Mifano ya vipengele inaweza kujumuisha, lakini siyo tu majedwali, tarakimu, au picha. Maswali yote juu ya haki na leseni yawasilishwe kwa Teach, The World Bank Group, 1818 H Street NW, Washington, DC 20433, USA; e-mail: teach@worldbank.org. Jalada na mpangilio wa ndani: Danielle Willis, Washington, DC, USA. YALIYOMO DIBAJI ................................................................................................................. 2 SHUKRANI .......................................................................................................... 4 UTANGULIZI ...................................................................................................... 5 UTARATIBU WA KUWEKA MAKSI ................................................................. 11 MWONGOZO WA MWANGALIZI .................................................................... 19 MUDA KWENYE KAZI ...................................................................................... 22 MUDA WA KUJIFUNZA ................................................................................................. 23 UBORA WA UTEKELEZAJI WA KUFUNDISHA .............................................. 24 UTAMADUNI WA DARASANI ....................................................................... 25 MAZINGIRA SAIDIZI YA KUJIFUNZA ........................................................................... 26 MATARAJIO YA TABIA NZURI ...................................................................................... 28 MAAGIZO ........................................................................................................ 29 UWEZESHAJI WA SOMO ............................................................................................ 30 VIPIMO VYA UFAHAMU ................................................................................................ 32 MAONI ........................................................................................................................... 33 UMAKINIFU ................................................................................................................... 34 UWEZO WA UHUSIANO NA KIHISIA ........................................................... 36 UHURU .......................................................................................................................... 37 USTAHIMILIVU .............................................................................................................. 38 UWEZO WA UHUSIANO NA USHIRIKIANO ................................................................. 39 ORODHA: VIPENGELE VINGINE VYA UBORA WA ELIMU ........................... 40 MASWALI YANAYOULIZWA MARA KWA MARA ........................................... 45 1 DIBAJI Kwa kiasi kikubwa, uandikishaji shuleni uliongezeka ndani ya miaka 25 iliyopita katika nchi zenye kipato cha chini na kati. Hata hivyo, kwenda shuleni siyo kwamba utakuwa na uhakika kujifunza. Sehemu kubwa ya watoto wanaohitimu shule ya msingi hawana hata uwezo wa msingi wa kusoma, kuandika, na hisabati1— hali ya mambo ambayo imepewa2 jina la “uzorotaji wa kujifunza duniani.” Kabla ya janga la (COVID-19) kiwango cha Umasikini cha Kujifunza katika nchi za kipato cha chini na cha kati kilikuwa asilimia 53 – ikimaanisha kuwa zaidi ya nusu ya watoto wote wa umri wa miaka 10 hawakuweza kusoma na kuelewa maandishi rahisi. COVID-19 imezidisha uzorotaji wa kujifunza, na athari kwenye mtaji wa binadamu wa kizazi hiki zinaweza kuwa za muda mrefu. Makadrio yanaonyesha kuwa Umasikini wa Kujifunza unatarajiwa kuongezeka hadi asilimia 70 ukisababishwa na janga la korona, na sasa tunakabiliwa na “janga ndani ya janga.” Changamoto zilizoletwa na COVID-19, pamoja na uzorotaji wa kujifunza duniani uliokuwepo kabla ya janga hilo, zinahitaji kuimarishwa kwa uwezo wa walimu kufundisha vizuri na kukabiliana na changamoto ambazo mifumo ya elimu zinakabiliana nazo siku hizi. Tunapoangalia mbele kwa kile kinachopaswa kufanywa ili kuondoa hasara za kujifunza, kusaidia walimu na ufundishaji wa hali ya juu ni muhimu zaidi kuliko hapo awali ili wanafunzi na shule waweze kujikomboa haraka na kwa ufanisi iwezekanavyo. Kwa kusudi hili, Benki ya Dunia imezindua Jukwaa la Kimataifa la Walimu wenye Mafanikio, kuzisaidia nchi kuimarisha sera zao za mwalimu kwa kufuata kanuni tano muhimu: 1) Kufanya ufundishaji kuwa wa kuvutia; 2) Kuboresha elimu ya awali; 3) Kuboresha uteuzi, ugawaji, na ufuatiliaji wa walimu; 4) Kutoa maendeleo ya kitaaluma ya hali ya juu na uongozi wa shule; na 5) Kuwasaidia walimu kutumia teknolojia kwa busara. Kuhakikisha kwamba kila mwalimu duniani kote anapata fursa za maendeleo ya kitaaluma ya hali ya juu ili kuboresha utekelezaji wao wa kufundisha hii itakuwa sehemu muhimu ya sera bora za mwalimu; uthibitisho unaonyesha, hata hivyo, kwamba walimu wengi duniani kote leo hawana fursa hizi. 3 Hatua ya kwanza ya lengo hili ni kuwa na data ya kuaminika na halali ya sasa ya utekelezaji wa ufundishaji, ili uelewa huu uweze kuwajulisha na kukamilisha maudhui na kuzingatia mipango na sera za maendeleo ya kitaaluma ya mwalimu. Taarifa juu ya utekelezaji wa ufundishaji wa sasa ni muhimu kwa sababu utafiti umeonyesha kuwa kichocheo muhimu cha ubora wa elimu ni ubora wa kuchangamana kati ya mwalimu na wanafunzi ndani ya darasa. Pia kama ijulikanavyo ubora wa mchakato, hii inahusu ambavyo walimu wananavyochangamana na wanafunzi wao darasani – ikiwa ni pamoja na utoaji wa maelekezo, jinsi wanavyojenga uwezo wa uhusiano na kihisia kwa wanafunzi wao na jinsi wanavyojenga utamaduni wa darasa unaofaa kujifunza.4 Taarifa juu ya ubora wa kuchangamana kati ya mwalimu na mwanafunzi darasani zinahitajika ili kuboresha ubora wa ufundishaji, kuendesha mazungumzo ya sera juu ya umuhimu wa ubora wa kusaidia walimu na ili maendeleo ya kitaaluma yaweze kulengwa kwa mahitaji ya walimu. Leo, hata hivyo, mifumo mingi ya elimu katika nchi za kipato cha chini na cha kati hazifuatilii mara kwa mara mazoea ya kufundisha au ubora wa kuchangamana kati ya walimu na wanafunzi darasani. Hata wakati mifumo ya elimu inajaribu kunasa utekelezaji wa ufundishaji, zana nyingi zinazotumiwa katika nchi za kipato cha chini na kati haziwezi.5 Ili kukabiliana na changamoto hizi, Benki ya Dunia iliunda Teach Primary, zana huru ya uangalizi darasani. Zana ya uangalizi darasani Teach Primary iliundwa ili kusaidia nchi kupima utekelezaji wa ufundishaji, kuhamasisha mazungumzo ya sera na kuhakikisha mipango ya maendeleo ya kitaaluma inachochewa na kukithi mahitaji ya walimu. Zana ni sehemu ya nyenzo ya Teach ambayo pia sasa inajumuisha Teach ECE na Teach Secondary. Teach Primary hupima kuchangamana kwa mwalimu na mwanafunzi, ikizingatia mbinu na tabia zinazojulikana kukuza uwezo wa watoto kufikiri na uhusiano wa kihisia. Teach Primary hupima kikamilifu kile kinachotokea darasani. Inafanya hivyo kwa kuzingatia si muda uliotumika kujifunza bali, muhimu zaidi, ubora wa utekelezaji wa kufundisha. Teach Primary iliundwa ili kuweza kubadilika kulingana na mazingira tofauti na hujumuisha pia utumiaji wa video vya eneo enyeji kuwafundisha waangalizi, ambao huhakikisha kuwa zana imefafanuliwa na kushikamana na mazingira ya mahali hapo. Teach Primary ni zana huru na inaambatana na kifurushi cha bure chenye nyenzo za kusaidia kila hatua ya utekelezaji wa zana hii, yakiwemo mazungumzo ya awali na wadau, mafunzo ya waangalizi, kutumia zana kukusanya taarifa kwenye sehemu ya kazi, kuchambua na kuhakiki taarifa, na uzalishaji na kushirikishana matokeo. 2 Kabla ya zana kuzinduliwa mwaka 2019, Teach Primary ilipitia maendeleo na mchakato dhahiri wa uthibitishaji zaidi ya muda wa miaka miwili. Jopo la Baraza la Ushauri wa Kiufundi6 lilitoa maoni ya kina na mapendekezo juu ya ubunifu wa zana hii. Zana ilijaribiwa ndani ya madarasa zaidi ya 1,000 nchini Msumbiji, Pakistani, Ufilipino, na Uruguay na ilipimwa kwa video vya kimataifa kutoka katika nchi 11 za kipato cha chini na kati. Tangu kuzinduliwa kwake, Teach Primary imekuwa ikitumika kuzisaidia nchi zinavyofuatilia na kuboresha ubora wa ufundishaji. Hadi hapo Disemba mwaka 2021, tunakadria kuwa Teach imetekelezwa au inatekelezwa kwenye zaidi ya shule 42,000 duniani kote, ikijumuisha walimu 180,000, zaidi ya wanafunzi milioni 3.6, na mashirika 25. Mfano nchini Msumbiji, Teach ilitumika kunasa ubora wa ufundishaji nchini kote, na takwimu hii imesababisha kuundwa kwa hatua za elimu zinazolenga kusaidia walimu kuboresha mafunzo ya wanafunzi. Nchini Guyana Teach inatumika kama zana ya M&E kutathmini ufanisi wa mtaala mpya katika shule za msingi kwa kunasa utekelezaji wa ufundishaji kabla na baada ya kuanzisha mtaala. Na Punjab, nchini Pakistani, toleo la zana lililobadilishwa linatumiwa na viongozi wa ufundishaji kufanya ufuatiliaji wa uangalizi darasani hadi kufikia 30,000 kwa wiki na kutoa maoni yaliyolengwa na ya kila mwalimu ili kuwasaidia kuboresha ufundishaji wao. Mzunguko huu wa uangalizi na maoni umetoa ongezeko la asilimia 20 kwa alama za wastani za ufundishaji kama inavyofuatiliwa na uangalizi darasani katika kipindi cha miaka miwili.7 Matumizi ya zana hadi sasa, na matokeo yake katika kukuza sera bora za mwalimu ambazo zinaunga mkono ubora wa elimu, zinaonyesha umuhimu wa kuwa na zana zilizothibitishwa, za kuaminika, na zinazoweza kupatikana ili kufuatilia ubora wa ufundishaji. Tunapoangalia mbele kwenye kazi ambayo lazima ifanyike ili kuharakisha ufufuaji wa kujifunza baada ya COVID-19, ni muhimu zaidi kuliko hapo awali kwamba tunaunga mkono mafunzo bora kwa wote, hasa wanafunzi ambao wanakabiliwa na hali mbaya zaidi. Kwa mujibu wa wajibu wa Benki ya Dunia kuharakisha hatua za kimataifa juu ya maendeleo jumuishi ya ulemavu na kuhakikisha kuwa miradi yote ya elimu na mipango iliyofadhiliwa iwe jumuishi ya ulemavu kufikia mwaka 2025, zana ilifanyiwa mchakato muhimu wa marekebisho ndani yam waka 2020-2021 ili kuimarisha jinsi ilivyonasa utekelezaji wa ufundishaji jumuishi. Kama sehemu ya mchakato huu, Baraza la Wataalam la Washauri katika elimu jumuishi walitoa maoni juu ya zana, na zana iliyorekebishwa ilihalalishwa kwa kutumia video toka maktaba ya kimataifa.8 Mabadiliko haya yanaonyeshwa kwenye Toleo la Pili la zana ya Teach Primary iliyotolewa katika huu Mwongozo wa Mwangalizi, pamoja na maoni ya mtumiaji kutoka miaka miwili ya kwanza ya utumiaji wa zana kazini. Teach imetuweka karibu kuhakikisha kuwa kila mtoto ana mwalimu mwenye ujuzi, anayeungwa mkono, na mwamasishaji, sharti muhimu la kufikia mafunzo kwa wote. Tunatumaini kuwa hili Toleo la Pili la zana ya Teach Primary likitumiwa pamoja na mipango ya kuboresha maendeleo ya kitaaluma ya walimu kama vile Coach, litaendelea kusaidia mifumo ya elimu katika kufuatilia utekelezaji wa ufundishaji katika madarasa ya elimu ya msingi na kuzisaidia nchi kuwasaidia vema walimu, hatimaye kuchangia juhudi za kukabiliana na uzorotaji wa kujifunza duniani na kukuza ubora wa elimu kwa watoto wote – katika kipindi cha ufufuaji wa mafunzo na kuendelea mbele. Omar Arias Practice Manager, Global Knowledge and Innovation Team 3 SHUKRANI Timu ya Teach inaongozwa na Ezequiel Molina na Adelle Pushparatnam. Toleo la kwanza la Teach Primary liliundwa na timu ya msingi ambayo pia ilijumuisha Carolina Melo Hurtado na Tracy Wilichowski. Toleo la Pili la Teach Primary liliundwa na timu ambayo pia ilijumuisha Jenny Beth Aloys, Emma Carter, Ana Teresa del Toro Mijares, Elaine Ding na Nidhi Singal. Diego Luna-Bazaldua, Carolina Moreira Vásquez, Gabrielle Arenge, Gill Althia Francis na Maria Tsapalis walikuwa washiriki wa timu hiyo. Mwongozo wa Mwangalizi na Zana vilibuniwa na Danielle Willis. Amy Gautam alikuwa mhariri mkuu wa nakala. Patrick Biribonwa, Restituto Jr. Mijares Cardenas na Cassia Miranda walitoa usaidizi wa usimamizi katika mradi huu. Timu ilipata mwongozo juu ya toleo la kwanza la Teach Primary toka kwa Jopo la Baraza la Ushauri wa Kiufundi lililoundwa na Lindsay Brown, Pam Grossman, Heather Hill, Andrew Ho, Sara Rimm-Kaufman, Andrew Ragatz, Erica Woolway, na Nick Yoder. Timu pia inashukuru michango ya Kikundi Cha Kazi cha Uangalizi Darasani la Teach ambacho kilishirikiana katika zana ya toleo la kwanza la Teach Primay na rasilimali zake za ziada, linajumuisha Salman Asim, Tara Beteille, Marguerite Clarke, Michael Crawford, David Evans, Deon Filmer, Francisco Haimovich, Samira Halabi, Amer Hassan, Peter Holland, Dingyong Hou, Nathalie Lahire, Toby Linden, Javier Luque, Juan Manuel Moreno, Shawn Powers, Halsey Rogers, Shwetlena Sabarwal, Shabnam Sinha, Lars Sondergaard, Simon Thacker, Waly Wane, na Noah Yarrow. Timu ilipata mwongozo juu ya toleo la pili la Teach Primary kutoka kwa Jopo la Baraza la Washauri wa Ujumuishi lililoundwa na Jo Westbrook, Rabea Malik, na Joshua Josa. Timu pia inawashukuru Hanna Alasuutari, Jennae Bulat, Brent Elder, Amer Hasan, Anne Hayes, Huma Kidwai, Kimberly Ann Korotkov, Rebecca Rhodes, Deepti Samant Raja, Ruchi Singh, Elena Soukakou, na Charlotte Vuyiswa McClain-Nhlapo, waliotoa maoni na mchango wao kwenye marekebisho ya toleo la pili la zana ya Teach Primary. Timu pia ilifaidika na msaada kutoka kwa Hafsa Alvi, Tamara Arnold, Estefania Avendano, Jennifer Bulley, Yanina Gallo, Julia Hahn, Aakriti Kalra, Julia Ladics, Anahita Mtin, Abdal Mufti, Octavio Medina Pedreira, Mahjabeen Raza, Hina Saleem, Marie Evane Tamagnan, na Sergio Venegas Marin walioshiriki kwenye kuunda zana. Baadhi ya wafanyakazi wenzetu walitoa maoni elekevu, mwitikio, na mapendekezo wakati wote wa uundaji wa zana hii, wakiwemo Gonzalo Dibot, Guadalupe Goyeneche, Michael Handel, Amer Hassan, Ines Kudo, Victoria Levin, Alonso Sanchez, Virginia Tort Gomez, Paula Prendeville, Elina Rostan, Kirill Vasiliev, na Noah Yarrow. Zaidi ya hayo, timu inazishukuru timu ambazo zilitumia toleo la awali la Teach katika muktadha zao mbalimbali. Hii inajumuisha Franco Russo, Binh Thanh Vu, na Javier Luque walioko Ufilipino; Koen Martijn Geven, Tazeen Fasih, na Ali Ansari walioko Pakistan; Francisco Haimovich Paz and Helena Rovner huko Uruguay; Marina Bassi huko Mozambique; na Sara Rimm-Kaufman wa Chuo Kikuu cha Virginia. Mwongozo mzima wa maendeleo na maandalizi ya Teach Primary ulitolewa na Omar Arias, Meneja wa Practice wa Global Knowledge and Innovation Team. Timu inashukuru sana msaada kutoka kwa Global Lead of the Curriculum, Instruction and Assessment Thematic Group, na Inclusive Education Thematic Group kwa mwongozo na ushauri wao wakati wote wa mchakato huu. Timu hasa inamshukuru sana Jaime Saavedra Senior Director of the Education Global Practice kwa uongozi, mwongozo, na msaada wake thabiti. Timu inawashukuru sana Systems Approach for Better Education (SABER) Trust Fund kwa msaada wao wa ukarimu, uliotolewa kwa kiasi kikubwa na United Kingdom’s Department for International Development (DFID) na Australia’s Department of Foreign Affairs and Trade (DFAT) waliosaidia kuundwa kwa Teach Primaryi.Timu pia inawashukuru Inclusive Education Initiative walioko Benki ya Dunia, waliosaidia kwa kuhakiki na kusahihisha Teach Primary ya mwana 2020-2021. Timu inaomba msamaha kwa mtu yeyote ambaye ametolewa bila kukusudia kutoka kwenye orodha hii na inatoa shukrani zake kwa wote ambao wamechangia kenye Teach Primary, ikiwa ni pamoja na wale ambao majina yao hayawezi kuonekana hapa. Mwisho na muhimu zaidi, wanatimu wanapenda kuwashukuru walimu wote ambao walitualika madarasani mwao kama sehemu ya mradi huu. UNA MASWALI? Wasiliana Nasi kwa teach@worldbank.org. 4 UTANGULIZI 5 Teach ni nini? Teach ni zana huria ya uangalizi darasani ambayo hutoa nafasi kwenye nyanja maalumu za mafunzo kwa wanafunzi ambazo hazijachunguzwa zaidi: kinachoendelea darasani. Zana hii imeundwa ili kusaidia nchi kufuatilia na kuboresha ubora wa ufundishaji. Huu Mwongozo wa Mwangalizi unalenga kwenye zana ya Teach Primary (kwa darasa la 1-6). Teach inapatikana pia kwa elimu ya awali kupitia Teach ECE. Teach Secondary na Teach Remote kwa sasa zinaundwa. Je Teach Primary (Toleo la Pili) linatofautianaje na Toleo la Kwanza? Teach Primary ilizinduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 2019. Mwaka 2020-21, Teach Primary ilifanyiwa mchakato wa uhakiki ili kuimarisha jinsi zana inavyonasa utekelezaji wa ufundishaji jumuishi. Hili Toleo la Pili linajumuisha marekebisho yaliyofanywa wakati wa mchakato wa uhakiki. Zaidi, toleo hili la zana linajumuisha ongezeko la tabia mpya (Tabia 1.4b) inayolenga unasaji wa ubaguzi wa walemavu, vile vile pia marekebisho kwa alama ya Chini, Wastani, na Juu kwenye tabia. Toleo hili lililorekebiswa pia linajumuisha mifano iliyorekebishwa katika maeneo yote ya zana ambayo inaonyesha utekelezaji wa ufundishaji jumuishi. Hatimaye, toleo hili linajumuisha ongezeko la orodha ya kutumika pamoja na zana ya uangalizi darasani. Orodha hiyo inalenga katika kutathmini vipengele vya mazingira ya kujifunzia yanayohusiana na ubora wa elimu na ujumuishi, ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa mazingira na baadhi ya vipengele vya mpangilio wa darasa na vifaa vinavyopatikana, ambavyo ni vipengele muhimu ili kuhakikisha ujumuishi na elimu ya hali ya juu ya wanafunzi wote. Kwa nini ni muhimu kupima utekelezaji wa ufundishaji? Utafiti unaoendelea unaonyesha kuwa kufundisha shuleni ni kielelezo muhimu zaidi kwa wanafunzi kujifunza, na tofauti kati ya matokeo ya mwalimu dhaifu au mwenye uwezo mzuri juu ya maksi za mwanafunzi ni sawa na mwaka mmoja hadi miwili ya kuwa shuleni. Hata hivyo, ushaidi unaonyesha miaka kadhaa mfululizo ya ufundishaji kwa ufanisi unaweza kukabiliana na mapungufu ya mafunzo kwa wanafunzi na kusaidia wanafunzi kufikia uwezo wao kamili (Bau and Das 2017; Buhl-Wiggers et al. 2017; Hanushek and Rivkin 2010; Nye, Konstantopoulos, and Hedges 2004; Snilstveit et al. 2016). Ushaidi unaonyesha, hata hivyo, kwamba walimu wengi leo hawapati msaada wanaohitaji ili kuwa wafanisi (Popova et al. 2018). Walimu wanahitaji mapendekezo ya mara kwa mara, utekelezaji, na msaada ili kuboresha ufundishaji wao, na ni muhimu kwamba walimu duniani kote waweze kupata fursa za kujiendeleza na za hali ya juu ili kuboresha utekelezaji wao. Hatua ya kwanza kutoa msaada bora kwa walimu ili waweze kuboresha ufundishaji ni kupima utekelejaji wa sasa. Teach Primary iliundwa ikiwa na lengo hili. Jinsi gani Teach Primary inaweza kutumika? Teach Primary inaweza kutumika kwa madhumini tofauti kulingana na mazingira ya nchi na malengo ya mradi. Teach Primary inaweza kutumika kama uchunguzi wa mfumo, ikitoa nafasi kwa serikali kupata picha kamili ya utekelezaji wa ufundishaji na ubora wa ufundishaji darasani. Katika nafasi hii, Teach Primary inaweza kutumika kama chombo cha ufuatiliaji na tathmini (M&E) kuchunguza matokeo ya sera au mpango maalumu unaolenga utekelezaji wa mwalimu, kama vile kutumia mtaala mpya au mtindo mpya wa ufundishaji. Teach Primary pia inaweza kutumika kama sehemu ya mfumo wa maendeleo ya taaluma ya mwalimu kutambua uthabiti na udhaifu wa mwalimu na kutoa msaada unaolengwa kwa walimu. Teach Primary haikuundwa ili kutumika katika tathmini ya mwalimu wa hali ya juu au michakato ya kufanya maamuzi. 6 Je, Teach Primary hupima nini? Teach Primary hutofautiana na zana nyingine za uangalizi darasani kwa kuwa, hunasa: • Muda ambao walimu hutumia kwenye kujifunza na kiwango ambacho wanafunzi wanafanya kazi • Ubora wa utekelezaji wa kufundisha ambao husaidia kuendeleza uwezo wa wanafunzi wa uhusiano/kihisia na ufahamu, na; • Mambo mengine ya mazingira ya kujifunza kama vile upatikanaji wa mazingira husika, ikiwa ni pamoja na mpangilio wa darasa na upatikanaji wa vifaa. Kama sehemu ya kipengele cha Muda kwenye Kazi, 3 “taswira” ya sekunde 1-10 hutumika kutia vyote vitendo vya mwalimu na baadhi ya wanafunzi walioko kazini wakati wote wa uangalizi. Kipengele cha Ubora wa Utekelezaji wa Ufundishaji uko katika maeneo matatu ya msingi: Utamaduni wa Darasani, Maagizo, na Uwezo wa Uhusiano na Kihisia9 (angalia ukurasa wa 7). Maeneo haya yana vipengele 9 vinavyoendana na tabia 28. Tabia zina sifa kama vile ya chini, wastani, au juu, zinazotegemea uthibitishaji uliokusanywa wakati wa uangalizi. Hizi alama za tabia zinatafsiliwa kwenye kiwango cha pointi- 5 ambazo zinahesabu utekelezaji wa ufundishaji kama ulivyonaswa katika maonyesho mawili ya dakika 15 za uangalizi wa somo. UTAMADUNI WA DARASANI: Mwalimu hujenga utamaduni unaofaa kwa kujifunza. Lengo hapa 1 siyo kuwa mwalimu anarekebisha tabia mbaya za wanafunzi, bali kiwango ambacho mwalimu anajenga: (i) mazingira saidizi ya kujifunza kwa kuwaheshimu wanafunzi wote, mara kwa mara anatumia lugha ya kujenga, anajibu mahitajia ya wanafunzi, na anapinga ubaguzi na haonyeshi upendeleo darasani na (ii) matarajio ya tabia nzuri kwa kuweka wazi matarajio ya tabia, kutambua tabia nzuri za mwanafunzi, na kukusoa tabia mbaya. MAAGIZO: Mwalimu anafundisha kwa njia ambayo inaimarisha uelewa wa wanafunzi na kuhamasisha 2 umakinifu na uchambuzi. Lengo hapa siyo juu ya njia maalumu ya maagizo, bali kadiri mwalimu anavyo: (i) anawezesha somo kwa kufafanua wazi wazi malengo ya somo yanayoendana na shughuli za kujifunza, kueleza maudhui kwa kutumia aina nyingi ya uwasilishaji, na anahusianisha shughuli za kujifunza na maarifa ya maudhui mengine au maisha ya kila siku ya wanafunzi, na kwa kutoa mifano ya shughuli za kujifunza kwa kuonyesha au kufikiri kwa sauti; (ii) hatoki kwenye mada moja kwenda nyingine, bali anapima ufahamu kwa kutumia maswali, mapendekezo, au mbinu nyingine kutambua kiwango cha ufahamu wa wanafunzi, kwa kuwachunguza wanafunzi wakati wa kazi za pekee na makundi, na kwa kurekebisa ufundishaji kuwa kwenye kiwango cha wanafunzi; (iii) anatoa maoni kwa kutoa maoni maalumu au mapendekezo ambayo husaidia kufafanua hali ya kutoelewa kwa wanafunzi au kutambua mafanikio yao; na (iv) anahimiza umakinifu wa wanafuzi kwa kuwauliza maswali yanayohitaji kujieleza na anawapa wanafunzi kazi za kufikiria zinazowahitaji kuchunguza maudhui kikamilifu. Wanafunzi wanaonyesha uwezo umakinifu kwa kuuliza maswali yanayohitaji kujieleza au wanafanya shughuli za kufikiria. UWEZO WA UHUSIANO NA KIHISIA: Mwalimu anastawisha uwezo wa uhusiano na kihisia ambao 3 unahimiza mafanikio ya wanafunzi yote ya ndani na nje ya darasa. Kukuza uwezo wa wanafunzi wa uhusiano na kihisia, mwalimu: (i) hujenga uhuru kwa kuwapa wanafunzi fursa ya kuchagua na kuchukua majukumu muhimu darasani. Wanafunzi wanaonyesha uhuru wao kwa kujitolea kushiriki katika shughuli darasani; (ii) anakuza ustahimilivu kwa kutambua jitihada za wanafunzi, badala ya kulenga tu kwenye akili au uwezo wao wa asili, kwa kuwa na mtazamo mzuri juu ya changmoto za wanafunzi kwa kuwashauri kuwa kushindwa na kukatishwa tamaa ni moja wapo ya mchakato wa kujifunza, na kwa kuwatia moyo wanafunzi kupangilia malengo ya muda mfupi na mrefu; na (iii) anakuza uwezo wa uhusiano na ushirikiano kwa kuhimiza ushirikiano kwa kuwachangamanisha na wenzao na kwa kuendeleza uwezo mzuri wa mahusiano, kama vile kuchukua maoni, kusisitiza, udhibiti wa hisia, na kutatua matatizo ya umma. Wanafunzi wanaonyesha uwezo wa uhusiano na ushirikiano kwa kushirikiana wao kwa wao kwa njia ya kuchangamana na wenzao. Mwisho, Teach Primary inaambatana na orodha ya kutathmini vipengele vingine vya mazingira ya kujifunzia yanayohusiana na ubora wa elimu, ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa mazingira na baadhi ya vipengele vya mpangilio wa darasa na vifaa vinavyopatikana, ambavyo vinaweza kutumika pamoja na vipengele vya uangalizi darasani. 7 8 MFUMO WA TEACH PRIMARY Teach Primary iliandaliwaje? Ili kukamilisha toleo la zana inayoweza kutumika, timu ya maendeleo ya Teach Primary ilifanya utafiti kwa ufanisi, ilirekebisha, na ilifanya majaribio ya mwendelezo tofauti wa zana kwa zaidi ya muda wa miaka 2 na ilizindua toleo la kwanza la zana mwaka 2019. Mwaka 2020-202, zana ya Teach Primary ilifanyiwa mchakato wa marekebisho ili kuimarisha jinsi inanvyonasa utekelezaji wa ufundishaji jumuishi. Ifuatayo inaelezea hatua kwa hatua mchakato ambao zana ilipitia katika kuundwa kwake: Timu ya mwanzo ya maendeleo — ambayo inajumuisha mtaalam 1 wa kiwango cha elimu, 1 mtaalam 1 wa mafunzo, mwanasaikolojia 1, na mwalimu 1 — walitathmini zana 5 za uangalizi darasani ambazo zinatumiwa sana nchini Marekani ili kuunda orodha ya utekelezaji wa kufundisha ambayo uchanganuliwa mara kwa mara.10 Baadaye timu iliongezea kwenye orodha hii ili kujumuisha tabia kutoka kwenye zana za uangalizi darasani za kimataifa zinazotumika katika nchi za kipato cha chini na kati.11 Kulingana na uchambuzi huu wa mwanzo, timu iliunda orodha ya maeneo 3 na vipengele 43.12 2 Timu ya maendeleo iliitisha kikao kilichohudhuriwa na jopo la wataalam na wazoefu 22 wa elimu kusaidia zaidi kupunguza na kupa kipaumbele vipengele vya mfumo wa Teach Primary. Washiriki waliombwa kuonyesha ikiwa vipengele vilikuwa vinakosekana kwenye orodha, kuweka vipengele kwenye safu na maeneo yanayohusika, na kutambua vipengele walivyothibitisha kama visivyo chunguzika. Harakati hii ilisababisha kupungua kwa mfumo wa vipengele hadi kufikia 25. 3 Timu ya maendeleo ilichunguza uthibitisho wa kinadharia na majaribio kutoka nchi za kipato cha chini na kati ili kuondoa zaidi vipengele kutoka kwenye mfumo. Harakati hii ilisababisha kupungua kwa mfumo wa vipengele hadi kufikia 14. 4 Vipengele hivi 14 vilijumlisha toleo la kwanza la zana inayoweza kutumika, ambayo ilikuwa na lengo la kunasa kwa pamoja ubora na marudio ya utekelezaji wa kufundisha kama ilivyopimwa na kila kipengele.13 Zana hii ya mwanzo ilifanyiwa majaribio ya moja kwa moja nchini Pakistan na Uruguay na kwa njia ya video darasani nchini Afghanistan, China, Pakistan, Ufilipino, Tanzania, Uruguay, na Vietnam. Kutokana na majaribio haya, ilikuwa dhahiri kwamba waangalizi walihangaika kuweka maksi kwa uaminifu wakati huo huo walipaswa kunasa marudio na ubora wa utekelezaji wa kufundisha kwa kila kipengele. Hivyo, timu ya maendeleo ilirekebisha muundo wa zana ili kukabiliana na changamoto hii. Harakati hii ilisababisha zana kuwa na vipengele 10. 5 Timu ya maendeleo iliunda jopo la ushauri wa kifundi, ikiwa ni pamoja na Lindsay Brown, Pam Grossman, Heather Hill, Andrew Ragatz, Sara Rimm-Kaufman, Erica Woolway, na Nick Yoda, ili kutoa maoni ya maandishi juu ya zana. Maoni haya yalikusanywa na kushughulikiwa kama sehemu ya warsha ya kifundi iliyofanyika siku 1. Wakati wa warsha, wataalam waliishauri timu juu ya masuala ambayo yapewe kipaumbele na jinsi ya kushirikisha maoni ili kuboresha zana. 6 Toleo hili jipya la zana liliwekwa katika mipangilio 4, ambapo waangalizi walipewa mtihani wa kupata cheti ambao ulihakikisha kuwa wanaweka maksi kwa uhaminifu kwa kutumia Teach Primary. Nchini Msumbiji, 74% ya waangalizi walifaulu mtihani wa kupata cheti; nchini Pakistani na Ufilipino, 98% walifaulu; na nchini Uruguay, 100% walifaulu. Waangalizi pia walitoa maoni juu ya zana na mafunzo ambayo yalizingatiwa wakati wa harakati za masahihisho. Timu ya maendeleo ilishirikiana kwa ukaribu sana pamoja na Andrew Ho14 to ili kuchanganua sifa 7 za mbinu za upimaji wa kisaikolojia wa zana hii. Kwa kutumia taarifa toka Punjab, Pakistani, timu iliwapata walimu ambao wanaonyesha utendaji mzuri wa ufundishaji kama ilivyo kwenye Teach Primary, kuna uhusiano na kuongezeka kwa maksi za wanafunzi kwa kiasi cha 0.068 –0.124 SD. Hii ni baada ya kudhibiti vibadilika vingi ikiwa ni pamoja na ukubwa wa darasa, maarifa ya mwalimu juu ya maudhui, na sifa nyingine za mwanafunzi na mwalimu.Kulingana na uchanganuzi huu na maoni toka kwa wakufunzi na waangalizi, timu ya maendeleo ilirekebisha muundo wa kila kipengele na mifano ya ziada ili kuboresha uzito na uwazi wa zana. Kama sehemu ya harakati hii, kipengele cha Muda wa Kujifunza kilibadilishwa ili kunasa muda wa mwalimu wa maagizo na muda wa wanafunzi wa kazi kwa kupitia mfululizo wa taswira. Harakati hii ilisababisha zana kuwa na vipengele vyenye hitimisho 1 la chini na mahitimisho 9 ya juu. Hatua ya mwisho ilihusisha upimaji 9 wa marekebisho haya kwa kutumia video kutoka kwenye nchi 11 za kipato cha chini na kati zilizihifadhiwa kwenye maktaba ya Teach Primary. Zana ilitolewa kwa umma mwaka 2019. 8 Tangu kutolewa kwake kwa umma na tangu Disemba 2021, Teach Primary imetumiwa ndani ya nchi thelathini. Teach Primary imetekelezwa na Benki ya Dunia na mashirika ya nje yakiwemo J- PAL, IDinsight IRC, Save the Children, na Education World Trust, vilevile shule binafsi. Kupitia utekelezaji huu tofauti, timu ya Teach Primary imepata ufahamu juu ya matumizi ya zana katika maeneo husika na imerekebisha na kufanya marekebiso kwa zana na vifaa vyake vya ziada ili kusaidia utekelezaji bora katika maeneo husika. Timu ya Teach Primary pia imefanya uchambuzi wa ziada na mafunzo ili kuthibitisha sifa za mbinu za upimaji wa kisaikolojia wa zana hii (Luna- Bazaldua, Molina, and Pushparatnam 2021). Ndani ya mwaka 2020 na 2021, Teach Primary ilifanyiwa mchakato wa marekebisho ili kuimarisha 9 jinsi zana ilivyopima utekelezaji wa ufundishaji jumuishi. Utekelezaji wa ufundishaji jumuishi hufafanuliwa kama ule ambao hujenga fursa zaidi kwa wanafunzi wote ili kupata mafunzo. Toleo lililorekebishwa la zana (Toleo la Pili) linaonyesha marekebisho muhimu kutoka kwenye toleo la awali. Kikundi cha wataalam wa elimu jumuishi, ikiwa ni pamoja na Jo Westbrook (Senior Lecturer in Education, University of Sussex), Rabea Malik (CEO and Research Fellow, IDEAS Pakistan) na Joshua Josa (Quality, Equity and Sustainability Team Lead, USA) walitoa maoni ya kina juu ya marekebisho yaliyopendekezwa kwa zana, na maoni haya yaliingizwa katika toleo lililorekebiswa la zana. 10 Toleo la Pili la zana ya Teach Primary lilijaribiwa na seti ya video 10 kutoka kwenye maktaba ya video ya kimataifa. Zaidi ya hayo, zana ilijaribiwa nchini Rwanda. Alama hizi zililinganishwa ili kutathmini kama zana iliyorekebishwa ilikuwa inanasa vema utekelezaji wa ufundishaji. Toleo la Pili lililorekebishwa na Mwangozo wa Mwangalizi la Teach Primary na Zana zilichapishwa mwaka 2021. 10 UTARATIBU WA KUWEKA MAKSI 11 Itifaki Kabla, wakati wa, na baada ya uangalizi, waangalizi wanapaswa kuwa watambuzi na waadilifu wa mazingira ya shule kwa kufuata itifaki hii: KABLA WAKATI WA BAADA VIFAA: MPANGILIO: HITIMISHO: Hakikisha una kifurushi cha Kaa nyuma darasani ili uone Mshukuru mwalimu kwa kuweza mwongozo, penseli/peni, fomu za darasa loto; hakikisha uwepo kufanya uangalizi. ridhaa,15 na saa/simu. wako hauwazuii wanafunzi Wakati somo linahitimishwa ondoka KUWASILI: kuangalia somo. darasani and malizia kuweka maksi Jitambulishe mwenyewe kwa mkuu Ikiwa unatembelea darasa ukiwa mahali pengine kuepuka na fika darasa lililochaguliwa pamoja na mwangalizi mwingine, vurugu. angalau dakika 10 kabla ya darasa kaa mahali tofauti na acha kuanza. kuongea naye wakati wowote wa somo. UMAKINI: Jitambulishe mwenye kwa Epuka kujadili maksi zozote na mwalimu, elezea madhumuni ya Hakikisha simu yako mwalimu. Ikiwa mwalimu anauliza ziara, na mkumbushe mwalimu hali imenyamazishwa na epuka jinsi alivyofanya, kwa upole ya usiri wa uangalizi: kutuma ujumbe au kupiga simu, mkumbushe kuwa hii siyo tathmini Facebook/Twitter, kupiga picha, ya utendaji. Kwa mfano: “HaHabari za asubuhi, Bw/Bi, au kufanya shughuli zozote za [jina la ukoo la mwalimu], kuvuruga. “Lengo la uangalizi ulikuwa ni ninafanya kazi na [shirika kujifunza juu ya utekelezaji wa unalohusiana nalo]. Shule yako UANGALIZI: kufundisha; notisi kutoka katika imechaguliwa kwa nasibu ili Anza uangalizi wakati darasa uangalizi huu zitatumika kama ishiriki katika utafiti linapoanza; ikiwa mwalimu sehemu moja wapo kubwa ya unaojumuisha uangalizi amechelewa, subiri hadi afike na utafiti wa utekelezaji wa darasani. Dhumuni la utafiti huu andika muda aliofika mwalimu kufundisha katika [jina la ni kutaka kujifunza juu ya kwenye karatasi ya uangalizi. wilaya/jiji]. Nilifurahia sana utekelezaji wa kufundisha kutazama somo lako na katika [jina la wilaya/jiji]. Kwa Katika hali ya madarasa yaliyo mchanganyiko chukulia uangalizi ninashukuru kuniruhusu kuwa hiyo, niko hapa kujifunza tu darasani mwako.” kutoka kwako – uangalizi huu kama darasa moja na andika hautatumika kwa madhumuni kwenye karatasi ya uangalizi. Epuka kujadili maksi za darasa na ya utathmini, na utambulisho mtu yoyote. Unaweza ukampa wako utabaki wa siri. Tafadhali mwalimu namba ya msimamizi HAKUNA KUCHANGAMANA: wako ikiwa anasistiza. endelea na somo kama ufanyavyo kila mara.” Epuka kujihusisha au Epuka kujadili kwa njia yoyote ile ya kuwavuruga wanafunzi au utani au dharau juu ya kile KUTOWAFIKI: mwalimu na husishiriki katika kilichotokea wakati wa somo. Ikiwa mwalimu hataki kuangaliwa, shughuli za darasani, hata kama Hii inaweza kuathiri uaminifu wako kwa ukarimu mkumbushe kwamba umeombwa. kama mwangalizi. uangalizi huu siyo tathmini, Usichunguze madaftali, karatasi utambulisho wake utahifadhiwa ORODHA (Ikiwa inahitajika): za kazi, shajala au kazi nyingine kama siyojulikana, na taarifa juu ya Kamilisha sehemu “Jaza baada ya za wanafunzi. uangalizi haitashirikishwa na uangalizi.” utawala wa shule. Tafadhali Epuka ishara yoyote ile nzuri au Kwa msaada wa mwalimu, uliza kumbuka, mwalimu halazimishwi mbaya na onyesha tabia nzuri maswali muhimu kama vile kuepuka kumvuruga mwalimu kuangaliwa; kama mwalimu “wanafunzi wangapi wana penseli?” akiendelea kutotoa ridhaa, toka kwa kutokusudia. na wahesabu. Ikiwa unamaliza darasani na andika kilichotokea Waelekeze mwalimu na kuweka alama ya uangalizi wa pili kwenye karatasi ya uangalizi. wanafunzi kwenye some ikiwa kabla ya kipindi kumalizika ORODHA (Ikiwa inahitajika): wanauliza maswali au wanatilia unaweza kuanza vipengele vingine kwa uangalifu uwepo wako. vya orodha ukiwa kimya na siyo Kamilisha sehemu “Jaza kabla ya uangalizi.” msumbufu (kusimama, kutembea tembea darasani, nk). Mjulishe mwalimu kwamba utakuwa na orodha ya kujaza wakati wa kipindi kumalizika. Muulize awajulishe wanafunzi lazima wabaki baada ya kipindi na fuata maagizo yako. 12 Muda wa uangalizi Uangalizi unapaswa kugawanywa katika sehemu mbili, dakika 15 kila moja.16 Sehemu ya kwanza ya uangalizi inaanza wakati wa darasa uliopangwa; hata hivyo, ikiwa mwalimu au wanafunzi hawapo wakati wa darasa uliopangwa au somo limecheleweshwa, uangalizi unaanza wakati mwalimu anaingia darasani. Baada ya kila dakika 15 za uangalizi, waangalizi wanapaswa kutumia dakika 10-15 kuweka maksi za uangalizi, kulingana na muda wa darasa. Kwa mfano, ndani ya darasa la dakika 45, sehemu ya kwanza ya uangalizi inaanza wakati wa darasa uliopangwa na ni muda wa dakika 15. Kisha mwangalizi ataacha (hata kama darasa bado linaendelea) na anatumia dakika 15 zinazofuata kuweka maksi kwenye sehemu ya 1. Kisha mwangalizi anatumia dakika 15 za darasa zilizobaki kuangalia sehemu ya 2. Baada ya darasa kuhitimishwa, mwangalizi anatumia dakika 15 nyingine kuweka maksi kwenye sehemu ya 2. Waangalizi daima wanapaswa kuandika muda wa kila sehemu ya uangalizi kwenye karatasi ya maksi. Ikiwa somo linaisha kabla ya muda wa uangalizi ulioamliwa hapo awali, waangalizi wanapaswa kuweka alama sehemu hiyo pia. Ni muhimu kuandika kwa usahihi taarifa ya muda, kuchelewa kuanza, na kumaliza mapema, kwa kuwa hii itatumiwa katika uchambuzi wa taarifa. Kuandika maelezo Mara baada ya uangilizi kuanza, mwangalizi hutumia fomu kuandika kile ambacho mwalimu anasema kwa kuzingatia tabia fulani, maswali, maagizo, na vitendo. Ni muhimu kuandika maelezo haya bila upendeleo na kwa uaminifu, kwani hutoa ushaidi kwa alama zilizochaguliwa. Wakati wa kuandika maelezo, ni muhimu kutoa ufafanuzi iwezekanavyo. Waangalizi watatumia maelezo yao na kuyalinganisha na ufafanuzi kutoka kwenye mwongozo ili kubaini ubora wa alama za tabia na kugawa alama za jumla kwa kila kipengele. Mara baada ya waangalizi kumaliza uangalizi, kila maksi zinapaswa kuhakikishwa na uthibitisho kutoka kwenye uangalizi. Wakati wa kuandika maelezo, ni muhimu kuangalia tabia fulani za mwanafunzi na mwalimu ambazo zimeonyeshwa kwenye zana. Waangalizi wote wanapaswa kujenga mfumo wa kuandika maelezo unaowafaa wao; hapa chini kuna baadhi ya mbinu za kusaidia kuandika maelezo.17 MBINU KILE KINACHOANGALIWA KILE KINACHOANDIKWA MAANDISHI: Baada ya somo juu ya kuunda sentensi za muda Wu: Nani anaweza kuchukua nukuu za walimu uliopita, mwalimu anauliza wanafunzi kuhusisha kitenzi tendaji kutoka jana na (Wu) au za somo la sasa na la hapo awali juu ya vitenzi tendaji kuunda sentensi ya muda wanafunzi (Wz) kwa kuunda sentensi kwa kutumia mbinu zote uliopita? Wz: Amna aliruka pamoja. Anawauliza, “Nani anaweza kuchukua tenzi juu ya dimbwi. tendaji kutoka jana na kuunda sentensi ya muda uliopita?” Mwanafunzi ananyosha mkono wake na kujibu, “Amna aliruka juu ya dimbwi.” HESABU: Wakati wote wa somo, mwalimu anasema, “vizuri “Vizuri sana” njiamkato za sana” mara 8 akimpongeza mwanafunzi kwa kushiriki maneno au misemo na majibu yake. inayotumika mara kwa mara HATIMKATO: Mwalimu anapitia aya ya mwanafunzi na kutoa maoni FB- Wu: aya ya kwanza ishara au herufi kwa kusema, “Kazi nzuri kwenye aya ya kwanza. inavutia kwa sababu ya maalumu Inavutia sana ulivyoanza kwa hadithi binafsi.” hadithi binafsi. zinazowakilisha tabia SIMULIZI: Mwanzo wa kazi, mwalimu anauliza ikiwa kila mmoja 6 Wz hawana daftali, Wu muhtasari wa kile ana daftali. Wanafunzi sita wananyosha mikono yao anaendelea kufundisha kilichoonekana au kuonyesha kuwa hawana. Mwalimu anaendelea ubaoni, 3 Wz wanacheza kusikika kufundisha ubaoni. Wakati huohuo, wanafunzi 3 (vurugu). wanacheza na mpira wa karatasi na wanawavuruga wengine. 13 Teach Primary zana inaundwa na mwongozo na karatasi ya uangalizi; waangalizi wanapaswa kutumia kikamilifu na kusoma mwongozo ili kubaini maksi. Zama ya Teach Primary unaundwa na Mwongozo wa Mwangalizi na Karatasi ya Uangalizi; waangalizi wanapaswa kutumia kikamilifu na kusoma mwongozo ili kuamua alama Kupima Muda kwenye Kazi Kwenye kipengele cha Muda wa Kujifunza, waangalizi watachukua “taswira” 3 au sekunde 1 – 10 za uchunguzi wa darasa, na kutumia taarifa pekee iliyokusanywa wakati wa taswira kuandika alama za tabia. Kwa tabia ya kwanza, waangalizi wataandika ikiwa mwalimu anatoa shughuli ya kujifunza kwa wanafunzi walio wengi kwa kuonyesha “hapana” ikiwa mwalimu hatoi shughuli ya kujifunza na “ndiyo” kama mwalimu anafanya hivyo. Ikiwa mwalimu anatoa shughuli ya kujifunza, chunguza darasani kutoka kushoto hadi kulia kutambua kama wanafunzi wako kwenye kazi. Ikiwa mwanafunzi 0 au 1 hayuko kazini, weka alama juu (J) kwenye tabia ya pili. Ikiwa wanafunzi 2 hadi 5 hawako kazini, weka alama wastani (W). Ikiwa wanafunzi 6 au zaidi hawako kazini, weka alama ya chini (C). Ikiwa mwalimu hatoi shughuli ya kujifunza kwa wanafunzi walio wengi, andika “haihusiki” (N/A) kwa tabia ya pili na endelea kuweka alama kwenye vipengele vingine vya zana. Angalia Kurasa ya 40 kwa maelezo zaidi juu ya mbinu ya taswira na jinsi gani kuweka alama kwenye kipengele hiki. Kupima Ubora wa Utekelezaji wa Kufundisha (i) Ugawaji wa alama za ubora kwa kila tabia Ili kutoa alama kwa uadilifu kabisa, mwongozo unaelezea aina 3 za ubora wa alama kwa kila tabia: chini, wastani, na juu. Maelezo haya ni ya kina na yana mifano ambayo inasaidia waangalizi kuamua ni alama gani iliyo bora inayofaa kwa kila kipengele. Baada ya sehemu ya kwanza ya uangalizi kumalizika, mwangalizi anaweka alama ya “chini, wastani, au juu” kwa kila tabia. Kwa ajili hii, ni muhimu kusoma maelezo na kuyalinganisha na ufafanuzi uliotolewa ndani ya mwongozo. Ni muhimu sana kwa waangalizi kuzingatia mwongozo kwa ukaribu sana, ikiwa wanakubaliana nao au la. Ishara hii inaashiria kuwa tabia iliyotolewa inaendana na FAQ; waangalizi wanapaswa kwa ukamilifu kujizoeza na FAQ kabla ya kufanya uangalizi na wanapaswa kurejea kwenye FAQs wakati wa kuweka alama ili kusaidia kufafanua utata wowote ule. Ni muhimu sana kwamba waangalizi wanatoa alama 1 kwa kila tabia. Ikiwa waangalizi wanataka kubadili jibu, wanatakiwa kwa uwazi kabisa kuondoa alama isiyo sahihi kwa kufuta kikamilifu au kupitisha msitari katikati yake. Baadhi ya tabia zinaweza kutoonekana. Kwa tabia hizo, mwongozo unatoa fursa ya kuandika “N/A.” Waangalizi wanaweza kuweka alama “N/A” ikiwa wamepewa chaguo hilo kwenye karatasi ya maksi (0.2, 1.3, 1.4, 4.2). Kama mwangalizi anaweka “N/A,” tabia hii isiathiri matokeo ya jumla kwenye kipengele hicho. Mfano ufuatao unaonyesha ni nini kingelionekana katika utekelezaji huo: 14 (ii) Ugawaji alama kwa kila kipengele Baada ya kuweka alama za ubora kwenye tabia, alama za vipengele zinapaswa kuamuliwa kulingana na ubora wa jumla wa kila kipengele. Alama zinaanzia kutoka 1 hadi 5, 1 ikiwa alama ya chini na 5 ya juu zaidi. Ni muhimu kusoma kwa uangalifu maelezo ya viwango tofauti vya tabia na kuweka alama kwenye kipengele ambacho kinaelezea vizuri hali iliyoangaliwa darasani. Wakati alama za mwisho zinapaswa kufuata alama zilizokokotolewa kutoka kwenye tabia, waangalizi wanapaswa daima kurudi na kusoma tena maelezo na tabia zinazoendana ili kutambua kama alama zinaafiki na maelezo ya jumla ya kipengele. Kwa mfano, waangalizi wanaweza kuweka maksi 4 kwenye kipengele hata kama alama za tabia ni za chini, wastani, na juu ikiwa kile kilichoonekana kwa ujumla kinazidi maelezo ya wastani, lakini hakina maelezo ya alama za juu. Maksi ya mwisho haipaswi kuwa ukokotoaji wa hesabu na maksi inapaswa kuwakilisha uthibitisho ulioonyeshwa katika sehemu nzima. 4 J C W (iii) Kupangia alama za tabia 1.4 Baada ya kupangia alama katika kiwango cha ubora wa “chini, wastani, au juu” kwa tabia ndogo 1.4a na 1.4b kwa kuzitenganisha, kiwango cha jumla ya ubora kinaweza kupatikana kwa tabia 1.4. Katika kutambua kiwango cha jumla ya ubora, miongozo ifuatayo ya mchanganyiko tofauti wa viwango vya tabia ndogo inapaswa kuzingatiwa: Ikiwa tabia zote 1.4a na 1.4b zimegawiwa kiwango sawa cha ubora, basi kiwango hiki kitakuwa kiwango cha jumla ya ubora wa kiwango cha tabia. Kwa mfano, ikiwa 1.4a na 1.4b zote zimegawiwa “juu” basi kiwango cha jumla cha ubora wa tabia 1.4 kitabaki kuwa “juu.” C C C W W W J J J Ikiwa “chini” imegawiwa kwa 1.4a au 1.4b basi kiwango cha jumla cha tabia kitabakia kuwa “chini” bila kujali mchanganyiko. Kwa mfano, ikiwa 1.4b iligawiwa “chini” basi kiwango hiki kingelitumika kuamua alama za jumla, hata kama kiwango cha 1.4a kilikuwa “wastani” au “juu.” C C W W C C J Ikiwa tabia ndogo zimegawiwa “juu” na nyingine “wastani,” “juu” basi kingelitumika. Kwa mfano, ikiwa 1.4a imegawiwa “juu” na 1.4b ni “wastani” basi alama ya jumla ya tabia ya 1.4 itakuwa “juu.” W J J 15 Changamoto za kawaida katika uangalizi darasani Kabla ya kuweka maksi kwa kutumia zana ya uangalizi darasani, ni muhimu kuelewa umuhimu wa ushirikiano wa kuaminika ambao unaelezea kiwango ambacho waangalizi wanakubaliana juu ya alama zinazohusishwa na uangalizi fulani. Kwa mfano, uangalizi ni wa kuaminika ikiwa waangalizi 2 wanatumia zana kumwangalia mwalimu yuleyule na kupata alama sawa (au zinazokaribiana). Wakati wa kufanya uangalizi darasani, waangalizi wanapaswa kutambua changamoto kadhaa ambazo zinaweza kuathiri vibaya uadilifu na uaminifu wakati wa kutumia zana: Uzoefu Binafsi Nyakati nyingine, uzoefu wa nyuma na maoni binafsi huathiri jinsi waangalizi wanavyoandika mfumo wa maksi. Hili ni tatizo hasa kwa watu walio na fikira zao za hapo mwazo juu ya kile kinachoonyesha kuwa ni “ufundishaji mzuri.” Zaidi ya hayo, kuna uwezekano wa kuathiri uaminifu wao kwa sababu ya uzoefu wao wa mitindo mbalimbali ya ufundishaji. Kwa mfano, baadhi ya waangalizi wanaweza kufikiria, “Nilipokuwa mwanafunzi, hivi ndivyo tulijifunza” au “Mwalimu wa binti yangu hufanya hivi.” Licha ya haya maarifa ya awali, ni muhimu kukumbuka utoaji wa alama ni lazima utegemee mwongozo, bila kujali maoni au maarifa. Taarifa za Ziada Pengine, waangalizi wanarekebisha alama zao kwa kuzingatia taarifa walizonazo za ziada au za hapo awali juu ya mwalimu, shule, au wanafunzi. Wakati mwingine, wao wanadhania pia tabia fulani za mwalimu pasipokujua malengo yake. Kwa mfano, “Nitampa mwalimu 5 kwenye mazingira mazuri, kwa sababu hata kama hakuwa na subira kwa wanafunzi, najua ni kwa sababu alifanya kazi mara mbili leo.” Taarifa hizi za ziada hazipaswi kuathiri uwekaji wa alama kwani alama zinapaswa kuonyesha kile kinachotokea darasani wakati uliopangwa wa uangalizi. Ulinganishi Mara nyingi, waangalizi hufanya uangalizi mbalimbali ndani ya muda mfupi na kulinganisha mitindo na uwezo wa ufundishaji na uangalizi mwingine – hatimaye, hii huzuia uaminifu wa zana. Kwa mfano, mwangalizi anaweza kumpa mwalimu alama za chini juu ya tabia kwa sababu kwenye uangalizi wa hapo awali alimwona mwalimu huyo, au mwalimu tofauti, anatumia mbinu bora kuwasilisha taarifa. Ni muhimu kuangalia kila kipande kwa upekee na kuepuka ulinganishaji na hali nyingine au walimu ili kudumisha uaminifu. Utenganishaji wa Vipengele Katika hali nyingine, kutenganisha maudhui ya vipengele kunaweza kuwa kama kulazimishwa kwani kila kitu kinachotokea darasani kinahusiana; yaani, waangalizi wanaweza kuhisi kwa undani zaidi kuwa kitendo fulani kiko kwenye zaidi ya kipengele 1. Kitendo kimoja cha uangalizi kinaweza kutumika kama uthibitisho wa zaidi ya tabia 1 au kipengele cha Teach, lakini uwekaji wa alama wa kila kimoja wapo lazima ufanyike kwa kujitegemea. Kwa mfano, mwalimu anaweza kutoa maoni wakati wa somo ili wanafunzi waweze kutafakari juu ya makosa yao. Maoni haya yanaweza kuwahimiza wanafunzi kufikiri kwa umakini; hata hivyo, hii haimaanishi moja kwa moja kuwa mwalimu anapata maksi za juu kwenye kipengele cha umakinifu, kwani tabia nyingine kwenye kipengele cha umakinifu zinaweza kuwa hazipo. Katika hali hii, waangalizi wanapaswa kuweka vipengele vyote viwili tofauti na kuvitolea alama kwa kujitegemea. Uchanganuzi wa Matukio Fulani au Fikra za Mwanzo Katika hali nyingine, waangalizi wanaweza kuona hali ambayo inawashangaza au kusababisha fikra nzuri au mbaya. Tukio hili linaweza kuathiri jinsi wanavyotathmini uangalizi mzima. Kudumisha uaminifu, ni muhimu kuzingatia tukio hilo kwa upana zaidi katika hali ya uangalizi na kutoruhusu fikra za mwazo au matukio ya kuvutia kuathiri maksi za jumla. Kwa hiyo, waangalizi wanapaswa kuandika maelezo ya kina ya uangalizi ili kubaini jinsi ya kuchanganua tukio fulani. Zaidi ya hayo, kila kipande kinapaswa kuzingatiwa kwa upekee, na waangalizi wanapaswa kuzingatia kile kinachotokea katika kipande hicho. Kwa mfano, hata kama mwalimu anakusudia kufanya shughuli darasani baadaye, ni muhimu kwa waangalizi kuweka maksi kwenye kile tu kinachotokea katika kipande hicho, badala ya kuboresha alama 1 ya tabia kwa kutegemea kile ambayo haijatokea. Hii inatumika hasa kwa kutofautisha kile kinachotokea katika kipande cha 1 dhidi ya kipande cha 2 (yaani, kile kinachoonekana kipande cha 1 hakiwezi kuzingatiwa kwa maksi katika kipande cha 2, na kinyume chake). 16 Mwelekeo wa Tabia ya kuwa Wastani Katika baadhi ya matukio, waangalizi mara nyingi hutoa maksi za kiwango cha kati zaidi ya wanavyotakiwa. Kusita huku kutoa maksi za juu au za chini hutokea (i) wakati waangalizi hawana uhakika katika uwezo wao wa kutambua kiwango maalumu, au wanaamini kuwa maksi za juu au za chini ni chache sana na hazipatikani; au (ii) kwa sababu ya hofu (wao wenyewe au mwalimu) ya kuweka alama zaidi. Ni muhimu kwa waangalizi kuweka alama kwenye tabia kama ilivyoelezewa katika mwongozo bila ya kushawishika kwa jinsi maksi zinazoweza kutumiwa au jinsi mwangalizi au mwalimu atakavyoonekana. Uthibitisho wa mwangalizi na Mtihani wa Uaminifu Lazima mshiriki wa mafunzo afaulu Mtihani wa Uaminifu wa Teach Primary kabla ya kuwa mwangalizi mwaminifu aliyethibitishwa. Uthibitisho wa mwangalizi unahakikisha udhibiti wa ubora na kuongeza uhalali wa zana ya Teach Primary kwa waangalizi wote. Inahakikisha waangalizi wote wanaweza kutumia zana hii vizuri na kuweka maksi kwa usahihi zaidi kama inavyotakiwa kwenye kiwango cha Teach Primary. Mtihani wa Uaminifu wa Teach Primary unajumuisha kutizama na kuweka alama kwenye sehemu 3 za video dakika 15 kila moja wapo, na alama ziendane na mfumo wa alama wa Teach Primary. Wanashiriki wana dk 15 kuweka maksi kwa kila video na hawawezi kusimamisha video, kurudi nyuma, au angalia video tena wakati wa mtihani. Ili kufaulu mtihani, lazima washiriki wafaulu vipengele 8 kati ya 10 kwa kila video. Kwa mfano, kama mwangalizi anapata 100% kwenye video ya kwanza, 100% kwenye video ya pili, na 70% kwenye video ya tatu, asingelifaulu mtihani. Kwenye kipengele cha muda wa kujifunza, washiriki watakuwa waaminifu wakiweka maksi sawa sawa na jibu kwa taswira 2 kati ya yote 3. Kwa vipengele vingine vyote, washiriki watakuwa waaminifu wakiweka maksi kati ya pointi moja ya jibu. Washiriki ambao hawafaulu kwenye mtihani wa kwanza watapewa majibu halafu wataweza kufanya mtihani tena mara 1 tu. Mtihani wa pili utakuwa na video 3 tofauti. Washiriki ambao hawafaulu mara ya pili hawatapata cheti cha mwangalizi wa Teach Primary. Cheti cha mwangalizi wa Teach Primary ni halali kwa muda wa mwaka 1. 17 Endnotes 1 Benki ya Dunia (2018). 2 UNESCO (2013). 3 Popova et al. (2018). 4 Kwa taarifa zaidi juu ya umuhimu wa ubora wa mchakato, tafadhali rejea Curby, Brock, & Hamre, 2013; Hatfield, Hestenes, Kintner-Duffy, & O’Brien, 2013; Kane, Taylor, Tyler, & Wooten, 2011; and Muijs et al., 2014. 5 Ladics et al. (2018). 6 Timu ilipata mwongozo kutoka jopo la ushauri wa ufundi linaloundwa na Lindsay Brown, Pam Grossman, Heather Hill, Andrew Ho, Sara Rimm-Kaufman, Andrew Ragatz, Erica Woolway, na Nick Yoder. Kwa taarifa zaidi juu ya kuundwa kwa toleo la kwanza la zana, tafadhali rejea “Kuundwa na Uhakiki”. 7 Imewekwa kwa kutumia data iliyotolewa na Punjab Programme Monitoring and Implementation Unit (PMIU) kupitia Punjab Integrated Education Dashboard na AEO Classroom Observation Tool Dashboard. Kwa taarifa zaidi ya matumizi ya zana iliyobadilishwa ya Teach huko Punjab, Pakistan, na pia katika mazingira mengine, tafadhali rejea kijitabu Teach in Action: Three cases of Teach implementation hadi sasa inapatikana kwenye tovuti ya Teach Primary. 8 Timu ilipata mwongozo juu ya toleo la pili la zana kutoka kwa Jopo la Baraza la Washauri wa Ujumuishi lililoundwa na Jo Westbrook (Senior Lecturer in Education, University of Sussex), Rabea Malik (CEO na Research Fellow, IDEAS Pakistan) na Joshua Josa (Quality, Equity and Sustainability Team Lead, USAID). Kwa taarifa zaidi juu ya kuundwa kwa toleo la pili la zana, tafadhali angalia “Kuundwa na Uhakiki”. 9 Ni muhimu kwamba huwezi kuweka mstari kati ya utendaji wa ufundishaji yanayohusika na mafunzo ya kitaaluma dhidi ya uhusiano na kihisia. Ni kweli kwamba aina nyingi za ufundishaji zinazotumiwa mara kwa mara kati ya mifumo ya walimu zinagusa ukuwaji wa uhusiano na kihisia wa wanafunzi, lakini mara kwa mara aina hiyo ya ufundishaji unafikiriwa kama mafunzo ya kitaaluma siyo uhusiano na kihisia. Kuonyesha mstari kati ya ufundishaji na matokeo ya uhusiano na kihisia kwenye makadirio itasaidia walimu waelewe umuhimu wa uhusiano na kihisia wa wanafunzi na pia kwa viongozi. hivyo kusaidia kuhakikisha mwelekeo kwenye mfaunzo ya kitaaluma na uhusiano na kihisia. 10 Mfumo wa Teach umejengwa juu ya orodha iliyoundwa na Gill na wengine (2016), waliyofanya uchambuzi tofauti wa utumiaji wa vifaa 5 vinavyotumiwa mara kwa mara vya uangalizi darasani kulinganisha tabia wanazopima na wanavyoweza kutabiri kujifunza kwa wanafunzi. Vifaa hivi vilikuwa CLASS, FFT, PLATO, Mathematical Quality of Instruction, and UTeach Observational Protocol. Kilichosema kifaa, uwezo kutabiri, na uwezekano wa upendeleo wa vifaa hivyo pia viliangaliwa kati ya mfumo hili. (Gill, Brian, Megan Shoji, Thomas Coen, and Kate Place. 2016. “The Content, Predictive Power, and Potential Bias in Five Widely Used Teacher Observation Instruments.” National Center for Education Evaluation and Regional Assistance, Washington, DC.) 11 Pamoja na OPERA, SCOPE, SDI, Stallings, na TIPPS. 12 Vipingele ni vikundi vya tabia zinazofanana na zinayojaribu kunasa aina ya ufundishaji inayolinanga na matokeo mazuri ya ufundishaji. 13 Kwa mfano, kifaa kikajaribu kunasa ubora wa mwalimu kupima ufahamu (kurekebisha ufundishaji, kuuliza wanafunzi maswali kuelewa kiwango cha uelewa wao, nk), lakini pia mwalimu anapima ufahamu wa wanafunzi ndani ya kila darasa mara kwa mara. 14 Andrew Ho ni Profesa wa Elimu katika Harvard Graduate School of Education. Yeye ni psychometrician na utafiti wake unajaribu kuboresha ubunifu, utumiaji, na uelewa wa matokeo ya mitihani kwenye seria na utendaji wa elimu. 15 Itifaki za kuingia darani zinaweza kuwa tofauti kutoka sehemu moja hadi nyingine; hata hivyo, ni muhimu kuwa na ruhusa inayohitajika kabla ya kufika shuleni. 16 Muda unaweza kuwa tofauti kidogo kutoka sehemu moja hadi nyingine. 17 Imebadilishwa kutoka kwa Archer, Jeff, et al. 2016. “Better Feedback for Better Teaching: A Practical Guide to Improving Classroom Observations.” San Francisco, CA: Jossey-Bass. 18 MWONGOZO WA MWANGALIZI 19 20 21 MWONGOZO WA MWANGALIZI MUDA KWENYE KAZI 22 0 Mwalimu anatumia vyema muda wa kujifunza. Mwalimu anatumia vyema muda wa kujifunza kwa kuhakikisha wanafunzi wengi wanafanya kazi na MUDA WA wamepewa shughuli za kujifunza kwa muda mwingi. Hii inaweza kuchunguzwa darasani kupitia KUJIFUNZA tabia zifuatazo: NDIYO HAPANA 0.1 SHUGHULI ZA KUJIFUNZA: SHUGHULI ZISIZO ZA KUJIFUNZA: Hii inajumuisha shughuli yoyote inayohusiana na maudhui ya Hii inajumuisha shughuli yoyote ambayo haihusiani na Mwalimu anafundisha darasa, ubora wake wa kujitegemea. maudhui ya darasa, ikiwa ni pamoja na shughuli au hutoa shughuli za zinazohusiana na usimamizi darasani kama vile kuchukua kujifunza kwa Kwa mfano, shughuli za kujifunza zinaweza kujumuisha ufundishaji mahudhurio au kufundisha nidhamu kwa wanafunzi au wa mwalimu, kazi kwenye kundi dogo/timu, au wanafunzi shughuli yoyote ambayo inafanya wanafunzi kusubiri. wanafunzi wengi sana wanaoshughulika kwenye karatasi ya mazoezi au wanajisomea wenyewe. Kumbuka kwamba ikiwa mwalimu anaondoka darasani, Kwa mfano, wakati mwalimu anapoandika kimya kimya ubaoni bila lakini amewachia wanafunzi shughuli ya kujifunza, hii bado kuwambia wanafunzi wanakili. Mifano mingine ya shughuli zisizo itahesabiwa kama shughuli ya kujifunza. za kujifunza ni pamoja na: wakati mwalimu anachua orodha ya . wanafunzi, anaweza kutaja majina ya kila mwanafunzi; kukiwa na tabia mbaya darasani, anaweza kusimamisha somo ili kurekebisha tabia mbaya za mwanafunzi; wakati kuna vurugu nje, anaweza kuacha kufundisha ili kuonana nini kinachoendelea; wakati anangalia zoezi la nyumbani, anaweza kuangalia zoezi la kila mwanafunzi peke yake, wakati wanafunzi wengine wanasubiria bila kazi yoyote ya kufanya. Zaidi ya hayo, michakato ya msingi darasani inaweza kuendelea, kama vile kuelekea kufanya shughuli mpya, kuweka vifaa tayari kwa somo, au kumalizia shughuli za uendeshaji. CHINI WASTANI JUU 0.2 Wanafunzi 6 au zaidi hawashughuliki Wanafunzi 2-5 hawashughuliki Wanafunzi wote wanashughulika (mwanafunzi mmoja anaweza kuwa Wanafunzi hashughuliki) wanashughulika 1 Wanafunzi wasioshughulika: Hii inajumuisha wanafunzi ambao hawashiriki katika shughuli za kujifunza zinazotolewa na mwalimu ama kwa sababu wao wako kimya lakini hawazingatii, au kwa sababu wao wanavuruga darasa. Kwa mfano, katika kikundi cha kwanza, wanafunzi wanaweza kuwa wanatazama dirishani, wameweka vichwa vyao dawatini, wakiangalia sakafuni au wakimtizama mwangalizi, au wamelala. Kwenye kikundi cha pili, wanaweza kuwa wanapeana walivyoandika, wananong’onezana, mwanafunzi anaongea na mwanafuzi mwingine wakati wa shughuli ambayo hahitaji mazungumzo, kutembea tembea darasani, kupiga kelele au kwa njia yoyote ile inayovuruga darasa. 1 Tabia hii inapata alama HAIUSIKI (N/A) iwapo mwalimu hafundishi au kutoa shughuli za kujifunza (yaani, 0.1 ipewa alama Hapana) 23 MWONGOZO WA MWANGALIZI UBORA WA UTEKELEZAJI WA KUFUNDISHA 24 UTAMADUNI WA DARASANI MAZINGIRA SAIDIZI YA KUJIFUNZA MATARAJIO YA MWENDENDO MZURI 25 A.1 UTAMADUNI WA DARASANI Mwalimu hujenga mazingira saidizi ya kujifunza. Mwalimu huandaa mazingira darasani ambapo wanafunzi wanaweza kujihisi salama na kuungwa mkono. Juu ya hayo, wanafunzi wote wahisi kukaribishwa, kama mwalimu MAZINGIRA SAIDIZI anawatendea wanafunzi wote kwa heshima. Hii inaweza kuchunguzwa darasani kupitia tabia YA KUJIFUNZA zifuatazo: Maksi 1 2 3 4 5 Alama za CHINI WASTANI JUU Ubora wa Katika darasa hili, mwalimu Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalimu ni Tabia ni dhaifu katika kujenga mazingira saidizi ya kujifunza. mfanisi kwa kiasi fulani katika kujenga mazingira saidizi ya mfanisi katika kujenga mazingira saidizi ya kujifunza. kujifunza. 1.1 Mwalimu hawatendei wanafunzi wote Mwalimu kwa kiasi fulani anawatendea Mwalimu anawatendea wanafunzi wote kwa heshima wanafunzi kwa heshima. kwa heshima. Mwalimu anawaheshimu Kwa mfano: Mwalimu anaweza kuwafokea Kwa mfano, mwalimu hawaheshimu Kwa mfano: Mwalimu anatumia majina ya wanafunzi wote baadhi ya wanafunzi, akawakaripia, wanafunzi (mfano, anawafokea, wadharau wanafunzi, anasema “tafadhali” na “asante,” kuwadhalilisha/kuwadharau au kutoa wanafunzi), lakini pia mwalimu haoneshi au kuonesha ishara nyingine za heshima nidhamu kwa kuwadhibisha kimwili. ishara za heshima kwa wanafunzi (mfano, zinazokubalika. ita wanafunzi kwa majina yao, anasema “tafadhali” au “asante,” au baadhi ya ishara za heshima zinazokubalika). 1.2 Mwalimu hatumii lugha inayojenga Mwalimu hutumia kwa kiasi fulani Mwalimu anatumia mara kwa mara katika mawasiliano yake na wanafunzi. lugha ya kujenga katika mawasiliano lugha ya kujenga katika mawasiliano Mwalimu anatumia yake na wanafunzi yake na wanafunzi. lugha inayojenga na Kwa mfano. Mwalimu anaweza kusema, Kwa mfano: Mwalimu mara kwa mara wanafunzi2 “umefanya vema”, “vizuri”, ingawa hii hutumia maneno ya kuhimiza kama vile, haitokei mara kwa mara. “Kazi nzuri!” wanafunzi wanapomwonesha kazi zao, au “Unaweza fanya hii”, au “Nyinyii ni kundi la wanafunzi wenye vipaji.” 1.3 Mwalimu hajui mahitaji ya wanafunzi Mwalimu hujibu mahitaji ya wanafunzi Mwalimu anajibu hapopapo mahitaji ya AU hatatui tatizo lililopo. lakini anaweza kutotatua tatizo mwanafunzi kwa njia ambayo Mwalimu anajibu Kwa mfano: Mwanafunzi anaweza kuwa lililopo. hushughulikia tatizo lililopo. mahitaji ya wanafunzi3 hana vifaa vinavyohitajika kwa somo, Kwa mfano. Mwanafunzi anaweza Kwa mfano: Kama mwanafunzi hana mwalimu hatambui au anajua na hutolijali. kufadhaishwa kwa sababu yeye hana penseli, mwalimu anamruhusu mtoto Badala yake, mwanafunzi anaweza penseli, na mwalimu anamwomba mtoto kuazima penseli yake ya akiba. kufadhaishwa kwa sababu ya maksi mwingine kutumia penseli yake, lakini mtoto mbaya au matatizo binafsi, na mwalimu huyo anakatalia. Mwalimu anaendelea na hutomjali mwanafunzi au hutupilia mbali somo bila ya kutatua tatizo. swala hilo (mfano., mwalimu humwambia mwanafunzi “sahau” au “jikaze tu”). 2 Mawasiliano ya maneno pekee ndiyo yatazingatiwa kama lugha ya kujenga; Maonyesho kwa lugha ya kujenga kwa kutumia mawasiliano yasiyo ya maneno hayatazingatiwa katika tabia hii. 3 Tabia hii inapata alama HAIUSIKI (N/A) kama hakuna uangalizi wa kihisia, vifaa, au mahitaji ya kimwili. 26 A.1 inaendelea UTAMADUNI WA DARASANI Mwalimu hujenga mazingira saidizi ya kujifunza. Mwalimu huandaa mazingira darasani ambapo wanafunzi wanaweza kujihisi salama na kuungwa MAZINGIRA SAIDIZI mkono. Juu ya hayo, wanafunzi wote wahisi kukaribishwa, kama mwalimu anawatendea wanafunzi wote kwa heshima. Hii inaweza kuchunguzwa darasani kupitia tabia zifuatazo: YA KUJIFUNZA Maksi 1 2 3 4 5 Alama za CHINI WASTANI JUU Ubora wa Katika darasa hili, mwalimu Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalimu ni Tabia ni dhaifu katika kujenga mazingira saidizi ya kujifunza. mfanisi kwa kiasi fulani katika kujenga mazingira saidizi ya mfanisi katika kujenga mazingira saidizi ya kujifunza. kujifunza. 1.4 Mwalimu anaonyesha upendeleo au Mwalimu haonyeshi upendeleo wa Mwalimu haonyeshi upendeleo NA anaendeleza mitizamo potofu kijinsia, lakini pia hapingi mitizamo hupinga mitizamo potofu darasani. Mwalimu haonyeshi darasani. potofu. upendeleo na hupinga mitizamo potofu ya kijinsia darasani4 1.4a Mwalimu anaweza kuonyesha hii kwa Mwalimu hutoa nafasi sawa kwa watoto Mwalimu hutoa nafasi sawa kwa watoto kutowapa wanafunzi fursa sawa wa jinsia zote kushiriki darasani na ana wa jinsia zote kushiriki darasani, ana Jinsia kushiriki katika shughuli darasani, au matarajio sawa kwa wanafunzi wote. matarajio sawa kwa wanafunzi wote. NA kwa kuonyesha matarajio yasiyo sawa hupinga mitizamo potofu ya kijinsia Kwa mfano: Mwalimu anachagua jinsia zote kwa tabia au uwezo wa wanafunzi. darasani. kujibu maswali magumu na anawasifia wote Kwa mfano: Mwalimu anapanga wasichana wasichana na wavula kujibu maswali sahihi. Kwa mfano: Mwalimu anachagua jinsia zote wakae peke yao nyuma ya darasa au Mwalimu anawapangia watoto wa jinsia zote kujibu maswali magumu na anawasifia wote anachagua wavulana kujibu maswali kazi za kusafisha ubao na kugawa vifaa vya wasichana na wavulana baada ya kujibu maswali magumu. kujifunza (kama vitabu) darasani. sahihi. Mwalimu anawapangia watoto wa jinsia zote kazi za kusafisha ubao na kugawa vifaa vya Badala yake, mwalimu anachagua kujifunza (kama vitabu) darasani. Licha ya hayo, wanafunzi wa jinsia zote kujibu mwalimu anatumia mifano na fafanuzi ambazo maswali magumu, lakini anawapangia zinaonyesha wanasayansi, madaktari, na wasichana tu kusafisha ubao au wanaanga wanawake badala ya wanaume na/au kugawa vifaa vya kujifunza (kama anahimiza majadiliano na wanafunzi kuhusu vitabu) darasani. mitizamo ya kijinsia na/au usawa wa jinsia. Mifano mingine ya upendeleo wa kijinsia ni Pia, mwalimu anaweza kuhimiza jinsia walimu wakiwa wanawagombeza wavulana tu zote kuchangia darasani kwa njia ya na siyo wasichana wakijibu swali kwa kukosa kusema, “sasa tusikie kutoka kwa au wakiwa na tabia mbaya. Pia, wanaweza wasichana” au “Sasa tumesikie kutoka kuwasifia wasichana tu na siyo wavulana kwa msichana, tusikie kutoka kwa wakijibu swali sahihi. mvulana.” 1.4b Mwalimu anaweza kuwapa wanafunzi fursa Mwalimu huwapa wanafunzi wote fursa Mwalimu huwapa wanafunzi wote fursa zisizo sawa za kushiriki katika shughuli za sawa za kushiriki darasani na ana sawa za kushiriki darasani, ana matarajio Ulemavu kujifunza, kutumia maneno ya unyanyapaaji, matarajio sawa kwa wanafunzi wote. sawa kwa wanafunzi wote, NA hupinga au kutoa matarajio ya chini kwa tabia au maoni potofu juu ya ulemavu darasani. uwezo wa mwanafunzi. Mwalimu huwawezesha wanafunzi wenye ulemavu kufanya kazi pamoja na wanafunzi Mwalimu anawapanga wanafunzi wenye Kwa mfano: Mwalimu anawapanga wanafunzi wengine darasani wakati wa kazi za kikundi, ulemavu kufanya kazi na wanafunzi wengine wenye ulemavu tofauti na wanafunzi wengine. hutoa fursa kwa wanafunzi wenye ulemavu wakati wa kazi za kikundi NA hutumia mifano na kuuliza maswali, na kushiriki katika shughuli matarajio ambayo yanawaonyesha watu wenye Mwalimu anaweza kutumia maneno ya zote za kujifunza darasani. ulemavu katika nafasi za muhimu. unyanyapaaji kuhusu watu wenye ulemavu, kwa ujumla, au kuonyesha ubaguzi dhidi ya Vinginevyo, mwalimu anawapongeza wanafunzi walemavu darasani kwa kutumia wanfunzi wenye ulemavu kama matarajio ya chini kwa tabia au uwezo wao. afanyavyo kwa wanafunzi wengine darasani. 4 Nafasi za kushiriki zinapaswa kuzingatia kwa kiasi kikubwa na uwiano wa jinsia tofauti darasani. 27 A.2 UTAMADUNI WA DARASANI Mwalimu anakuza tabia nzuri darasani. Mwalimu anakuza tabia nzuri kwa kutambua tabia za wanafunzi ambazo zinafaa au kupita MATARAJIO YA kipimo. Aidha, mwalimu huweka wazi matarajio ya tabia kwenye baadhi ya sehemu tofauti za TABIA NZURI somo. Hii inaweza kuchunguzwa darasani kupitia tabia zifuatazo: Maksi 1 2 3 4 5 Alama za CHINI WASTANI JUU Ubora wa Katika darasa hili, mwalimu Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalumu ni Tabia ni dhaifu katika kukuza tabia nzuri. mfanisi kwa kiasi fulani katika kukuza tabia nzuri. mfanisi katika kukuza tabia nzuri. 2.1 Mwalimu haweki wazi matarajio ya Mwalimu anaweka matarajio ya tabia Mwalimu anaweka wazi matarajio ya tabia tabia ya kazi/shughuli za darasani. yasiyo eleweka au ya juujuu kwa juu ya kazi/shughuli za darasani. Mwalimu huweka wazi Kwa mfano: Mwalimu anasema, “Jitahidi kazi/shughuli za darasani. Kwa mfano: Baada ya kutoa kazi ya kikundi matarajio ya tabia ya ujuzi wako kwenye uwezo wa ufahamu wa Kwa mfano: Wakati anatoa kazi, mwalimu darasani, mwalimu anaeleza bayana tabia kusoma,” bila kutoa maelezo juu ya kile anasema, “Tafadhali kaa kwenye vikundi inayotarajiwa katika kikundi. Hii ni pamoja na, kazi za darasani kinachotarajiwa. mlivyopangiwa awali na tenda,” bila “Tumia sauti ya utulivu” au “Pokezaneni kufafanua kile kinachohusu tabia hiyo. kuongea.” Ikiwa wanafunzi wanafanya kazi kwa kujitegemea, mwalimu anatoa maelekezo juu ya nini cha kufanya watakapo maliza kazi. Mwalimu anasema, “Tafadhali, inukeni kimya kimya, nileteeni karatasi zenu Vinginevyo, mwalimu haonekani anaweka matarajio ya tabia, lakini wanafuzi wanatenda vema.5 2.2 Mwalimu hatambui tabia ya Mwalimu anatambua baadhi ya tabia Mwalimu anatambua tabia nzuri za mwanafunzi inayokubaliana au kupita za wanafunzi, lakini habainishi juu wanafunzi zinazokubaliana au zinazopita Mwalimu anatambua matarajio. ya tabia zinazotarajiwa. matarajio. tabia nzuri za Kwa mfano: Kama kikundi kinafanya Kwa mfano: Mwalimu analiambia darasa, mwanafunzi vema, mwalimu anasema, “Kikundi hiki “Nimeona kwamba wanakikundi A kinafanya kazi vema pamoja” au “Kikundi wanapokezana kuongea na kwa makini hiki kinafanya kazi njema,” bila ya wanafanya zoezi linalofuata.” kufafanua kwa nini au kivipi. 2.3 Uelekezaji wa tabia mbaya ni dhaifu Uelekezaji wa tabia mbaya una Wakati tatizo likitokea, uelekezaji mzuri na uzingatia tabia yasiyofaa, badaya ufanisi, lakini anazingatia tabia wa tabia mbaya unatatua tatizo lililopo na Mwalimu anakosoa tabia ya tabia inayotarajiwa. mbaya badala ya tabia inayotarajiwa. kukazia tabia inayotarajiwa. mbaya na anazingatia Vinginevyo, uelekezaji wa tabia Kwa mfano: Akimwona mwanafunzi asiye Kwa mfano: Ikiwa wanafunzi wanaongea kwa mtulivu, mwalimu ataacha kufundisha na mbaya unafaa kwa kiasi fulani na sauti kubwa na wanasumbua wakati wa somo, tabia inayotarajiwa, kumwita mwanafunzi na kumuliza, “Kwa anazingatia tabia inayotarajiwa. mwalimu anasema, “Kumbuka kuongea kwa badala ya tabia isiyofaa5 nini utulii darasani?” Vinginevyo, mwalimu Baada ya kuwaona wanafunzi 3 sauti za chini,” na wanafunzi wanatulia. anampuuzia mwanafunzi asiye mtulivu, hawafanyi kazi walizopangiwa, mwalimu lakini mwanafunzi huyo anaanza kutania na Kwa njia nyingine, mwalimu haonekani anasema, “Nyinyi 3 nyamazeni sasa, kubishana na mwanafunzi jirani yake. Hii akikemea tabia ya wanafunzi, lakini mnapiga kelele nyingi.” Kauli hii inalenga inabadilisha mwelekeo mzima wa darasa tabia mbaya ya watoto wasio watulivu wanafunzi ni watiifu wakati wote wa somo. na kuelekeza kwa wanafunzi hao 2. badala ya kile kinachotarajiwa kutoka kwao. Hivyo, wanafunzi wasio watulivu watatulia. Katika hali nyingine, mwalimu anawaelekeza wanafunzi kwa kuwaomba “Kuzingatia kazi walizonazo.” Ingawa mwalimu anaelekeza tabia nzuri inayotarajiwa kutoka kwa wanafunzi, kwa sehemu kubwa, wao wanaendelea kuzungumza. 5 Tabia mbaya inatokea wakati mwanafunzi anasababisa vurugu darasani ambayo inaathiri mtiririko wa somo, inavuruga wanafunzi wengine, au kumkakasirisha mwalimu. 28 MAAGIZO UWEZESHAJI WA SOMO VIPIMO VYA UFAHAMU MAONI UMAKINIFU 29 B.3 MAAGIZO Mwalimu anawezesha somo ili kusaidia uwezo wa ufahamu. Mwalimu anawezesha somo ili kusaidia uwezo wa ufahamu kwa kueleza wazi malengo, hufafanua UWEZESHAJI maudhui kwa kutumia aina mbalimbali za uwasilishaji na kuunganisha somo na baadhi ya ujuzi WA SOMO maudhui au uzoefu wa wanafunzi. Hii inaweza kuonekana darasani kwa njia ya tabia zifuatazo: Maksi 1 2 3 4 5 Alama za CHINI WASTANI JUU Ubora wa Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalumu ni dhaifu katika uwezeshaji wa mfanisi kwa kiasi fulani katika mfanisi katika kuendeleza somo Tabia somo ili kusaidia uwezo wa kuendeleza somo ili kusaidia ili kusaidia uwezo wa ufahamu. ufahamu. uwezo wa ufahamu. Mwalimu anaeleza wazi wazi na/au Mwalimu anaeleza kwa wazi na/au huandika 3.1 Mwalimu haelezei au haandiki malengo ya huandika lengo pana la somo AU lengo mahsusi la somo (yaani, lengo la somo, wala hakuna linaloweza Mwalimu anafafanua kufahamika kutokana na shughuli za lengo haliko wazi na/au kujifunza) na shughuli za somo zinaendana somo. halijaandikwa, lakini linaweza na malengo yaliyotajwa. wazi malengo ya kufahamika kutokana na shughuli Kwa mfano: Mwanzoni mwa darasa, mwalimu somo na anahusisha Kwa mfano: Mwalimu anawaomba wanafunzi za somo. anasema,” Leo tutajifunza kuzidisha sehemu.” Kila kupokezana kusoma juu ya kupanda na kuvuna shughuli za darasani mazao. Kisha anatumia muda wote wa darasa Kwa mfano: Mwalimu anasema, “Leo kazi ya somo inaendana na lengo la kuzidisha akijadili ukulima na taratibu maalumu tutajifunza juu ya kuzidisha,” bila ya sehemu. na malengo hayo zinazohusika. Mwalimu haelezei lengo la somo maelezo zaidi wakati ni wazi kuwa kazi na ni vigumu kufahamu lengo la somo kutokana ni kujifuza kuzidisha sehemu. na shughuli hizo kama lengo lingelikuwa ni Vinginevyo, kazi zinaweza kuwa wazi kendeleza kusoma kwa urahisi kukuza kujifunza kugawa namba nzima, lakini msamiati, au kujifuza kuhusu kilimo. hii haijaelezwa wazi na mwalimu. Mwalimu hufafanua maudhui kwa Mwalimu hufafanua maudhui kwa Mwalimu hufafanua maudhui kwa kutumia aina 3.2 kutumia aina moja ya uwasilishaji AU kutumia aina mbili za uwasilishaji. tatu za uwasilishi. Mwalimu hufafanua maudhui hayafafanuliwi. Kwa mfano: Mwalimu anasema, Kwa mfano: Mwalimu anasema, “Sehemu ni Kwa mfano: Mwalimu husema, “Sehemu ni “Sehemu ni mchanganyiko wa mchanganyiko wa namba ya juu na ya chini,” na maudhui kwa mchanganyiko wa namba ya juu na ya namba ya juu na ya chini,” na huandika mfano wa ¼ ubaoni. Baadaye wakati wa kutumia aina chini,” bila ya kutoa maandishi au kiwakilishi huandika mfano wa sehemu ubaoni. somo, mwalimu anatumia kifaa kama sehemu ya chochote kile cha sehemu wakati wa kipindi Katika somo la lugha ya sanaa, ufafanuzi wake wa maudhui kwa kutunja kipande cha mbalimbali za karatasi katika robo na anapaka rangi mraba mmoja. cha somo. Vinginevyo, mwalimu hafafanui mwalimu anasema kitenzi ni neno la uwasilishaji maudhui, anatumia maneno mengi magumu kitendo na huandika ubaoni sentensi Katika somo la lugha ya sanaa, mwalimu anasema bila ya kufafanua ana maanisha nini, na/au ambayo ina kitenzi kimepigiwa kwamba kitenzi ni neno la kitendo na huandika ubaoni anaweza kufafanua mawazo bila mpangilio mstari. sentensi ambayo ina kitenzi kimepigiwa mstari. Kisha wa kimantiki au uhusiano. Zaidi ya hayo, mwalimu anaigiza vitendo kwa mfululizo na huwaomba mwanafunzi kutafuta mifano hii ya vitenzi. mwalimu anaweza kusema, “Sehemu ni mchanganyinko wa namba ya juu na ya chini,” bila kuelezea maneno hayo. Vinginevyo, mwalimu hatoi ufafanuzi wowote wa maudhui. Mwalimu hausianishi yale Mwalimu anaweza kujaribu Kwa uzuri zaidi, mwalimu anahusianisha 3.3 yanayofundishwa na maarifa mengine kuhusianisha somo na maarifa somo na maarifa mengine maudhui au maisha maudhui au maisha ya kila siku ya mengine maudhui au maisha ya ya kila siku ya wanafunzi. Mwalimu anafanya wanafunzi. Mwalimu anaweza kutumia kila siku ya wanafunzi, lakini Kwa mfano: Wakati wa kufundisha sehemu, mwalimu mahusiano ndani ya mifano ambayo inaweza kuwa na mausiano yako ovyo, anahusianisha maudhui na uzoefu wa maisha ya uhusiano na maudhui mengine au uchanganya, au hayaeleweki. wanafunzi kwa kuwauliza, “Nani alishawahi kugawanya somo yanayohusiana maisha ya wanafunzi, lakini hajaribu Kwa mfano: Wakati mwalimu anaelezea keki ya siku ya kuzaliwa? Ulihakikishaje kuna vipande vya na maarifa ya kuhusianisha na shughuli za kujifunza. somo juu ya sehemu, anasema, kutosha kwa kila mmoja? Kujifunza juu ya sehemu inaweza maudhui au maisha Kwa mfano: Wakati wa somo la hesabu za “Tunapokata keki, tunatumia sehemu” kutusaidia kuigawa keki kati ya watu.” Mwalimu pia sehumu, mwalimu anatumia picha ya keki na na huendelea kufafanua sehemu. anahusianisha somo hilo na lililopita juu ya nusu kwa nusu ya kila siku ya anaigawanya katika vipande vinne, lakini Uhusiano wa maisha ya wanafunzi yako kwa kusema, “Kumbuka, jana tulipojifunza nusu kwa nusu? wanafunzi hausianishi uzoefu wa maisha ya wanafunzi na juu juu au siyo mahsusi. Vinginevyo, Tulijifunza kwamba tukatapo keki nusu kwa nusu, ukataji keki. Vinginevyo, mwalimu anasema, mwalimu anasema, “Kumbuka jana tunaweza kushirikishana sawa kati ya watu 2. Leo “Kumbuka, jana tulijifunza namba nzima? Leo, tulijifunza utaratibu wa kujumlisha tutajifunza jinsi ya kuigawa keki katika robo nne, hivyo watu tutajifunza jinsi ya kujumlisha sehemu.” namba nzima? Sasa tutatumia utaratibu 4 washirikishane. Wakati tulipokuwa tukikata nusu kwa huo na kutumia kujumlisha sehemu.” nusu tulihakikisha tuna nusu 2 zinazolingana. Ni kweli pia, Hata hivyo, wakati anatoa maelekezo ya wakati tuna kata robo nne: tunapaswa kuhakikisha tuna kujumlisha sehemu, mwalimu vipande vilivyo ukubwa sawa.” Uhusiano kati ya somo la hausianishi tena utaratibu huo wa sasa na maarifa mengine maudhui na/au maisha ya kila kujumlisha namba nzima. siku ya wanafunzi uko wazi. 30 B.3 inaendelea MAAGIZO Mwalimu anawezesha somo ili kusaidia uwezo wa ufahamu. Mwalimu anawezesha somo ili kusaidia uwezo wa ufahamu kwa kueleza wazi malengo, hufafanua UWEZESHAJI maudhui kwa kutumia aina mbalimbali za uwasilishaji na kuunganisha somo na baadhi ya ujuzi WA SOMO maudhui au uzoefu wa wanafunzi. Hii inaweza kuonekana darasani kwa njia ya tabia zifuatazo: Maksi 1 2 3 4 5 Alama za CHINI WASTANI JUU Ubora wa Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalumu ni dhaifu katika uwezeshaji wa mfanisi kwa kiasi fulani katika mfanisi katika kuendeleza somo Tabia somo ili kusaidia uwezo wa kuendeleza somo ili kusaidia ili kusaidia uwezo wa ufahamu. ufahamu. uwezo wa ufahamu. Mwalimu, hatoi mifano. Mwalimu kwa kiasi fulani anatoa Mwalimu kwa ukamilifu anatoa mifano ya 3.4 shughuli za kujifunza kwa kuonyesha sehemu Kwa mfano: Mwalimu hutumia muda wote mifano ya shughuli za kujifunza. Mwalimu anatoa darasani akisoma kifungu na kuwauliza zote za utaratibu AU anaelezea utaratibu NA wanafunzi maswali juu ya nakala lakini Kwa mfano: Kwenye darasa la Kingereza kutoa mawazo yako. mifano kwa hawaonyeshi njia yoyote ile. Katika darasa la ambapo lengo la kazi ni kuandika aya, hisabati, mwalimu anawapa wanafunzi mazoezi mwalimu anaonyesha tu jinsi ya kuandika Kwa mfano: Mwalimu anaonyesha njia tofauti za kutatua kuonyesha au kufikiri sentensi ya mada. Darasani mwa matatizo ya hesabu (anaonyesha utaratibu) na wakati kufanya peke yao na haelezei njia ya kufanya kwa sauti6 mazoezi hayo. hesabu, mwalimu anaonyesha jinsi ya anafanya hivyo, anasema ni nini anachofikiria katika kila kuchora bar grafu, lakini habainishi ni jinsi hatua ya mlingano (toa mawazo yako). Au ikiwa wanafunzi gani alipata data kutoka kwenye kitabu na wanakokotoa mzunguko wa madawati yao, mwalimu kuunda bar grafu. anaonyesha kila hatua katika mchakato (utekelezaji kamili wa utaratibu) kwa kutumia picha, na/au vitu, au vifaa vingine ambavyo vinaweza kupatikana maeneo husia. Wakati wa kufanya hivyo, mwalimu anasema kila anachofikiria katika kila hatua ya mchakato. 6 Mifano inaweza kutokea wakati wowote kwenye somo (ikiwa pamoja na mwishoni). Ikiwa shughuli za kujifunza zina asili ya mchakato, utaoaji wa mifano itajumuisha uonyeshaji wa utaratibu kwa watotoi kuona; hata hivyo, ikiwa kazi inalenga kuendeleza ustadi wa kufikiri, mfano kamili utajumuisha kutoa mawazo yako. Kitendo kitachukuliwa kuwa mfano iwapo mwalimu anaonyesha/fafanua utaratibu or harakati za kufikiri zinazohusiana na shuguli za kujifunza. 31 B.4 MAAGIZO Mwalimu anapima ufahamu wa wanafunzi wengi. Mwalimu anapima ufahamu kuhakikisha wanafunzi wengi wanaelewa maudhui ya somo. Aidha VIPIMO VYA mwalimu anapunguza mwendo wake wa somo ili kuwapa wanafunzi fursa za ziada za kujifunza. Hii UFAHAMU inaweza kuonekana darasani kwa njia zifuatazo: Maksi 1 2 3 4 5 Alama za CHINI WASTANI JUU Ubora wa In this classroom, the teacher In this classroom, the teacher is In this classroom, the teacher Tabia does not check for any student’s understanding. effective at checking only a few students’ understanding. is effective at checking for most students’ understanding. 4.1 Mwalimu aidha hawaulizi wanafunzi Mwalimu anatumia maswali, pendekezo, Mwalimu anatumia maswali, maswali/kupendekeza hata kidogo au mbinu nyingine ambazo ni fanisi pendekezo, au mbinu nyingine Mwalimu anatumia AU wakati akifanya hivyo, darasa katika kutambua kiwango cha ufahamu ambazo ni fanisi katika kutambua maswali, pendekezo au linajibu kwa pamoja, ambapo wa wanafunzi wachache tu. kiwango cha ufahamu wa wanafunzi inakubaliwa bila kuangalia zaidi wote. mbinu nyingine Kwa mfano: Mwalimu anauliza, “7+8 ni ngapi?” kama kuna uelewa. Wanafunzi wachache wanajibu kwa kunyosha Kwa mfano: Mwalimu anasema, kutambua kiwango cha Kwa mfano: Wakati mwalimu akifafanua mikono yao, mwalimu ataita mwanafunzi 1 au “Tafadhali weka dole gumba juu kama ufahamu wa wanafunzi dhana, anauliza, “Je, nyote mmeelewa?” wanafunzi 2 kujibu swali. Vinginevyo, mwalimu unakubalina au chini kama hukubalini na Wanatunzi wote darasani hujibu kwa anauliza swali lakini hawaombi wanafunzi kauli hii: “Pembetatu sawa zina pembe pamoja, “Ndiyo, tumeelewa.” Mfano kunyosha mikono yao kujibu na anawaruhusu sawa.” Mwalimu anawauliza wanafunzi mwingine mwalimu anauliza, “Hii ni wanafunzi kujitolea kujibu. kuonyesha ujuzi wao kwa kuwaomba sawa?” baada ya kukamilisha seti ya wanafunzi wote washirikishane majibu tatizo. Darasa au mwanafunzi mmoja yao, kwa mfano kuwaomba wanafunzi anajibu, “Ndiyo, hii ni sahihi.” kusoma kwa sauti sentensi walizoandika kwa kutumia vitenzi vya wakati uliopita. 4.2 Mwalimu hachunguzi wanafunzi Mwalimu anachunguza baadhi ya Kwa utaratibu ulio mzuri, mwalimu wakati wanafanya kazi peke yao au wanafunzi wakati wanafanya kazi peke yao anachunguza wanafunzi wengi kwa Mwalimu anachunguza kwenye vikundi. au kwenye vikundi ili kupima ufahamu wao. kuzunguka darasani na kukaribia wanafunzi wengi mwanafunzi au vikundi kuangalia Kwa mfano: Mwalimu anakaa kwenye Kwa mfano: Mwalimu anaangalia usahii wa dawati lake au anasimama mbele ya kazi ya mwanafunzi, hufafanua dhana, au ufahamu wao. wakati wa kazi za darasa wakati wanafunzi wanafanya kazi. anauliza maswali. Kwa mfano: Wakati wanafunzi wanafanya pekee/kikundi7 kazi, mwalimu anazunguka darasani kuakikisha kuwa anawakaribia wanafunzi au vikundi kwa kwa njia ya utaratibu mzuri. Mwalimu anaangalia kazi za wanafunzi wengi, anafafanua dhana, na anawauliza maswali. 4.3 Mwalimu harekebishi ufundishaji Mwalimu anarekebisha kidogo Mwalimu anarekebisha vema kwa wanafunzi.8 ufundishaji lakini marekebisho haya ni ufundishaji kwa wanafunzi kwa Mwalimu anarekebisha mafupi nay a juu juu. kuwapa wanafunzi fursa nyingi za Kwa mfano: Mwalimu anaweza kugundua ufundishaji kuwa kujifunza. Mwalimu anaweza kwamba wanafunzi wengi wamepata jibu Kwa mfano: Wanafunzi wanapomaliza lisilo sahihi lakini haelezei tena dhana au kuwasilisha taarifa kwa kina kwa njia kiwango cha wanafunzi zoezi la alfabeti, mwalimu anatambua tofauti ili kuwasaidia wanafunzi kutoa fursa za ziada za kujifunza. kwamba hawajatia doti kwenye “I” zao. kuelewa vema dhana inayofundishwa. Kwa sababu hiyo, kwa ufupi mwalimu Mwalimu anaweza pia kutoa kazi za analikumbusha darasa kutia doti kwenye changamoto kwa wale ambao tayari “I” zao. wana ufahamu wa juu. Au wakati wa kufanya zoezi la kuzidisha 7 x 3, Kwa mfano: Wanafunzi wanapomaliza mwanafunzi anachanganya njia ya kujumlisha zoezi la alfabeti, mwalimu anatambua na kujibu ‘10’ kwenye karatasi yake ya kazi. kwamba hawajatia alama kwenye “I” zao. Kwa kujibu, mwalimu anamkumbusha Kwa sababu hiyo, mwalimu anasimamisha mwanafunzi kuwa anafanya kuzidisha na siyo kazi na kutazama tofauti kati ya herufi kujumlisha. kubwa na ndogo “I” kabla ya kuendelea na zoezi la alfabeti. Kwa kutambua kwamba mwanafunzi haelewi mchakato wa kuzidisha, mwalimu anaweza kuchora picha au kutumia kitu halisi ili kumsaidia mwanafunzi kuelewa vizuri njia hiyo. Vinginevyo, kama mwalimu anatambua kwamba mwanafunzi amemaliza zoezi, anaweza akampa mwanafunzi huyo kazi nyingine akamilishe wakati anasubiria wanafunzi wenzake. 7 Tabia hii inapata alama HAIUSIKI (N/A) kama hakuna uchunguzi wa kazi pekee au ya kikundi. 8 Hata kama hakuna haja ya marekebisho, ikiwa mwalimu harekebishi ufundishaji, tabia hii inapata alama ya chini. 32 B.5 MAAGIZO Mwalimu anatoa maoni ili kuimarisha ufahamu wa mwanafunzi. Mwalimu anatoa maoni maalumu au mapendekezo9 ili kusaidia kutambua hali ya kutoelewana, kuelewa mafanikio, na kuongoza michakato ya mawazo ili kuendeleza mafunzo. Hii inaweza MAONI kuchunguzwa darasani kwa njia ya tabia zifuatazo. Maksi 1 2 3 4 5 Alama za CHINI WASTANI JUU Ubora wa In this classroom, the teacher In this classroom, the teacher is In this classroom, the teacher Tabia is ineffective at providing feedback to deepen students’ somewhat effective at providing feedback to deepen students’ is highly effective at providing feedback to deepen students’ understanding. understanding. understanding. 5.1 Mwalimu aidha hatoi kwa wanafunzi Mwalimu anatoa kwa wanafunzi Mwalimu hutoa kwa wanafunzi maoni/ maoni/mapendekezo juu ya maoni/mapendekezo ya jumla au ya mapendekezo maalum ambayo yana Mwalimu anatoa kutoelewa kwao AU maoni ovyo juu ya kutoelewa kwao. taarifa za kina ambayo husaidia maoni maalum au yaliyotolewa ni rahisi, taarifa kufafanua kutokuelewa kwao. Kwa mfano: Kwenye darasa la hisabati, tathmini (mfano, “Hiyo si sahihi”). mwalimu anasema, “Umesahau kuweka mapendekezo ambayo alama ya hasi,” hata bila ya kuwapatia Kwa mfano, mwalimu anasema, Kwa mfano: Wakati mwanafunzi anatoa “Mnakumbuka tunapozidisha hasi na husaidia kufafanua hali jibu lisilo sahihi, mwalimu anajibu na maelezo zaidi au mapendekezo. chanya? Ebu tuangalie notisi zenu. Sasa, ya kutoelewa kwa kusema, “Hilo siyo jibu sahihi,” na tuangalie jibu. Unahitaji nini ili kubadili anaendelea. kupata jibu sahihi?” wanafunzi 5.2 Mwalimu aidha hatoi kwa wanafunzi Mwalimu anawapa wanafunzi Mwalimu hutoa kwa wanafunzi maoni/mapendekezo juu ya maoni/mapendekezo ya jumla au ya maoni/mapendekezo maalum Mwalimu hutoa maoni mafanikio yao AU maoni ovyo juu ya mafanikio yao. ambayo yana taarifa za kina ambayo au mapendekezo yaliyotolewa ni rahisi, taarifa husaidia kutambua mafanikio yao. Kwa mfano: Ikiwa wanafunzi wanaandika tathmini. hadithi kama moja wapo ya zoezi, mwalimu maalum yanayosaidia anasema, “Vizuri sana kwenye aya ya tatu,” Kwa mfano: Ikiwa wanafunzi wanaandika Kwa mfano: Wakati mwanafunzi anatoa hadithi, mwalimu anasema, “Unafanya kutambua mafanikio ya jibu sahihi, mwalimu anajibu kwa kusema, hata bila ya kuelezea kile mwanafunzi huyo vizuri kumvutia msomaji katika ayah ii mwanafunzi “Hiyo ni sahihi” na anaendelea. alifanya kuwa kizuri. wakati unaandika ‘hakuna ajuaye kitakachotokea.’ Sentensi hii ananifanya nitake kusoma zaidi.” Vinginevyo, mwalimu anaonyesha kazi ya mwanafunzi mmoja na kuliambia darasa, “Tazameni kazi ya mwanafunzi wenzenu, angalia jinsi alivyotumia mhimili kutatua hesabu ya kutoa?” Na kisha anaendelea kuelezea ni jinsi gani mwanafunzi alivyotatua. 9 Mapendekezo ni taarifa kama vile mwongozo wa vidokezo au maswali, ambayo hutolewa na mwalimu na kuhimiza wanafunzi kufikiria kwa kina yale yasiyoeleweka au kutambua mafanikio. 33 B.6 MAAGIZO Mwalimu anajengea wanafunzi uwezo wa umakinifu. Mwalimu hujengea wanafunzi uwezo wa umakinifu kwa kuwahimiza wachunguze maudhui kwa UMAKINIFU ukamilifu. Hii naweza kuchunguzwa darasani kwa njia ya tabia zifuatazo: Maksi 1 2 3 4 5 Alama za CHINI WASTANI JUU Ubora wa Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalimu Katika darasa hili, mwalimu ni Tabia dhaifu kuendeleza uwezo wa umakinifu. ni mfanisi kiasi fulani kwa kuendeleza uwezo wa umakinifu. mfanisi katika kuendeleza uwezo wa umakinifu. 6.1 Mwalimu haulizi maswali ya kujieleza Mwalimu anauliza angalau maswali 2 ya Mwalimu anauliza wanafunzi maswali AU anaulizi swali 1 tu. Mwalimu kujieleza lakini haongezei kwenye 3 au zaidi ya kujieleza NA angalau 1 Mwalimu anauliza anaweza kuuliza maswali yasiyohitaji majibu ya wanafunzi, AU mwalimu wapo linajengea jibu la mwanafunzi maswali yatakayohitaji kujieleza ambayo tayari yana majibu. anauliza maswali 2 ya kujieleza na 1 kwa kuwauliza wanafunzi kuhalisisha wapo ni linalofuatia jibu la mwanafunzi. kufikiria kwao, maelezo zaidi, au kujieleza Kwa mfano: Mwalimu anauliza, “Nani mhusika mkuu katika hadithi hii?” au “Ipi ni ufafanuzi wa mawazo yao. Kwa mfano: Mwalimu anauliza, “Kwa nini ambayo yanahitaji kufikiri, kubwa, -2 au -6?” mhusika mkuu alikuwa na huzuni? Nini Kwa mfano: Mwalimu anauliza, Mnafiriaje ufafanuzi, au ujumla au yana kinakufanya ufikirie hivyo?” AU “Kwa nini -2 ni mhusika mkuu wa hadithi atajiandaaje kubwa kuliko -6?” Na kisha anauliza, kwa mashindano?” Baada ya mwanafunzi zaidi ya jibu 1 sahihi “Unatumiaje mhimili kutambua kuwa -8 au -4 kujibu, kisha mwalimu uliza swali la ni kubwa?” kufuatilia, “Una uhakika au fikira gani zilizokupelekea kufikiri hivyo?” Kisha anamuliza mwanafunzi mwingine, “Unafikiri nini kitatokea baadaye?” Katika darasa la hisabati, mwalimu anauliza, “Unajuaje -2 ni kubwa kuliko -6?” Baada ya mwanafunzi kujibu, mwalimu anaongezea swali kufuatilia, “Nini kitatokea namba zingelikuwa chanya?” Baadaye kwenye somo, mwalimu anauliza, “Unatumiaje mhimili kutambua iwapo -8 au -4 ni kubwa?” 6.2 Mwalimu hatoi shughuli za kufikiria. Mwalimu anagawa shughuli za juu juu Mwalimu hutoa shughuli maalum za Madarasa ambayo hayana jambo la za kufikiria. Shughuli za juu juu ni kama kufikiria. Shughuli maalum za kufikiria Mwalimu anatoa kazi za kufikiria yanajumuisha yale ambayo vile uwishanisho wa vitu sale, kutambua ni kama vile utabiri, kutambua mifumo, kufikiria wanafunzi wanakaa tu na kumsikiliza dhana au vipengele muhimu vya taarifa, ufafanuzi wa jambo, kuhusianisha, na mwalimu au kufanya marudio. na kulinganisha na kutofautishanisha sifa. kutafsiri taarifa. Pia zinaweza zinazowahitaji wanafunzi Kwa mfano, rejea kwenye orodha ya Pia hujumuisha kutumia mbinu na maelezo kujumuisha kutumia maelezo na mbinu kuchunguza maudhui shughuli za kufikiria kurasa ifuatayo. waliyojifunza tayari kwa kujifunza yale walizojifunza tayari kwa shughuli mpya kikamilifu, kinyume na kupokea ambayo mwalimu ameshaonyesha tayari. ambazo mwalimu hajaonyesha. tu taarifa au kujenga ufasaha Kwa mfano, rejea kwenye orodha ya shughuli Kwa mfano, rejea kwenye orodha ya (yaani, ufundishaji za kufikiria kurasa ifuatayo. shughuli za kufikiria kurasa ifuatayo. marudiorudio) 6.3 Wanafunzi hawaulizi maswali ya Wanafunzi hawaulizi maswali Wanafunzi wanauliza kujieleza wala hawafanya shughuli ya kujieleza. maswali ya kujieleza. Wanafunzi wanauliza za kufikiria Kwa mfano, rejea kwenye orodha ya shughuli Kwa mfano, baada ya kutatua hesabu za maswali ya kujieleza Kwa mfano, rejea kwenye orodha ya za kufikiria kurasa ifuatayo. kutoa, mwanafunzi anauliza, “Kwa nini 6-9 shughuli za kufikiria kurasa ifuatayo. jumla yake ni namba hasi?” au wanafanya shughuli za kufikiria Vinginevyo, wanafanya shughuli muhimu za kufikiria. Kwa mfano, rejea kwenye orodha ya shughuli za kufikiria kurasa ifuatayo. 34 Jedwali la Shughuli za Kufikiria Mifano hii ina nia ya kuwasaidia waangalizi kufafanua nini inajumuisha shughuli ya kufikiri na kutofautisha kati ya viwango vya ubora. Ni muhimu kutambua kwamba mifano hii si ya kina. Kwa kuongeza, mazingira na viwango vya wanafunzi kujifunza vinapaswa kupimwa kwa ungalifu wakati wa kuweka alama 6.2 na 6.3. Madarasa CHINI WASTANI JUU ya Lugha 1. Wanafunzi wanasoma Wanafunzi wanawianisha picha na herufi. Kwa Mwalimu ana baadhi ya maneno mafupi ubaoni. alfabeti mara kwa mara. mfano, herufi tofauti zimeandikwa ubaoni. Mwalimu Anasoma, “paka” wakati akionyesha herufi na Kujifunza anawaita wanafunzi mmoja baada ya mwingine na anawauliza wanafunzi nini kingelitokea ikiwa kusoma anawapa picha yenye kipande cha tunda. Anasema, wangelibadilisha herufi ya kwanza kwenda “n” au “k.” “Una kipande gani cha tunda? Fikiri, herufi ya Kisha anawaomba kuchagua neon na kuona nini kwanza ya jina la tunda lako ni ipi na weka picha kitatokea ikiwa watabadili herufi ya kwanza. yako ubaoni chini ya herufi inayofaa. 2. Wanafunzi wanapokezana Baada ya kusoma hadithi, mwalimu anaandika Baada ya kusoma hadithi, mwalimu anasema, “Sasa Ufahamu wa kusoma hadithi au mfululiza wa maswali ubaoni ambayo kila nawataka mtabiri nini kinachoweza kutokea baadaye wanamsikiliza tu mwalimu. mwanafunzi anapaswa kujibu peke yake. Maswali katika hadithi na kisha utakapomaliza shirikishana na kusoma haya yanawataka wanafunzi kutambua mambo jirani yako. muhimu ya hadithi, kama vile mhusika mkuu, mazingira, na mlolongo wa matukio. 3. Wanafunzi wanarudiarudia Mwalimu anawaomba wanafunzi kuandika sentensi Wanafunzi wanatakiwa kuchambua sentensi 3 tofauti kuandika mfano wa ambayo lengo ni umuhimu wa muundo wa sentensi kwa kuorodhesha ulinganifu na utofauti kati ya miundo Kujifunza sentensi. kwa kutumia orodha ya vitenzi au majina. ya sentensi na kuelezea kwa nini kutumia muundo kuandika mmoja wa sentensi ni bora zaidi kuliko mwingine. Madarasa CHINI WASTANI JUU ya Hisabati 1. Mwalimu anawaomba Wanafunzi wanalinganisha namba kulingana na Mwalimu anaweka mfululizo wa namba ubaoni na wanafunzi kukaliri namba ukubwa na kuziandaa kwa utaratibu wa kushuka au anawambia wanafunzi kutafuta mtindo mzuri. Kwa Kujifunza juu ya 1–100. kupanda. Kwa mfano mwalimu anaandika ubaoni 8, mfano, mwalimu anaandika mfululizo 3 wa namba namba 29, 72, 63, na 7. Anawambia wanafunzi kuandika ubaoni: 3, 13, 17, 23; 6, 15, 24, 30, 36; na 4, 12, 28, namba kwa utaratibu wa kupanda juu. Vinginevyo, 32, 40. Anawambia wanafunzi kutafuta ni nini mwalimu anawambia wanafunzi, “Angalieni kinachofanana katika kila kikundi. mkusanyo wa namba: 2, 5, 10, 19, 24. Andika chini safu 2 za namba shufwa na witiri.” 2. Wanafunzi wanamsikiliza Mwalimu anaelezea mchakato wa kutoa. Kisha Mwalimu anaelezea mchakato wa kutoa. Kisha Kujifunza juu ya mwalimu anafafanua dhana anawauliza wanafunzi wafanya baadhi ya maswali ya mwalimu anaandika menyu ubaoni ikiwa pamoja na na kisha wananakili mifano kutoa (mfano, “10-5=?”) na waandike majibu kwenye bei. Mwalimu anawambia wanafunzi kufikiria kuwa kutoa toka ubaoni. madaftali yao. wana Tsh40,000 na watafute watapata chenji ya shilingi ngapi wakinunua vitu tofauti. 3. Wanafunzi wanamsikiliza Katika somo la bar grafu, mwalimu anatumia chati ya Katika somo la bar grafu, mwalimu anachora bar mwalimu anafafanua dhana namba na kuchora bar grafu akionyesha vyakula grafu kuonyesha akionyesha vyakula vipendwavyo Kujifunza juu ya na kisha wananakili mifano vinavyopendelewa na darasa. Kisha anauliza na darasa. Kisha anawaomba wanafunzi kufanya bar grafu toka ubaoni. wanafunzi, “bar ipi ni ndefu kuliko zote? Bar ipi ni fupi kazi wawili wawili kutafsiri taarifa ili kutambua na kuliko zote?” kupanga chakula toka kinachopendelewa zaidi na kinachopendelewa kidogo. Kisha anawambia kuhesabu wanafunzi wangapi wanataka vyakula vinavyopendelewa zaidi wakilinganishwa na vinavyopendelewa kidogo. 4. Wanafunzi wanaambiwa Katika somo la sehemu, wanafunzi wanapewa Mwalimu anawambia wanafunzi kukunja kipande cha kurudia fasili ya hesabu za vipande vya karatasi vilivyokatwa kwa maumbo karatasi kuwa sudusu. Kisha anasema, “tia kivuli Kujifunza juu ya sehemu kwa wanafunzi mbalimbali na wanaagizwa kukunja karatasi katika ndani ya 3/6 ya karatasi zenu. Andika chini sehemu kutoka jirani zao. maumbo mbalimbali ambayo yanawakilisha sehemu. iliyotiwa kivuli na angalia ni sehemu ngapi unaweza Mwalimu anawaonyesha jinsi ya kukunja katika kuandika zinazowakilisha eneo hili. sehemu mbalimbali na kisha, wafanye kazi wawili wawili, na mwalima anasema, “Mmoja wenu atakunja karatasi yake kuwa 1/5, mwingine 1/3. Kisha, aliye na sehemu kubwa anapaswa kusimama.” 5. Mwalimu yuko ubaoni Baada ya kuelezea jinsi gani ya kupata eneo la Baada ya kujifunza jinsi ya kupata eneo la mstatili, anafanya hesabu za eneo za mstatili, mwalimu anachora mstatili ubaoni, anatoa wanafunzi wanaombwa kutatufa eneo la darasa lao Kutafuta eneo la mistatili 3 tofauti na vipimo, na anawambia wanafunzi kutumia kanunu ambalo lina umbile la mstatili. mstatili wanafunzi wananakili wanazojua ili kupata eneo. kwenye madaftali yao. 6. Mwalimu anaandika ubaoni Mwalimu anaandika ubaoni maswali ya mafumbo na Mwalimu anaandika ubaoni maswali ya mafumbo na maswali ya mfumbo na anawaonyesha wanafunzi jinsi ya kutatua. Kisha anawaonyesha wanafunzi jinsi ya kutatua. Kisha Kufumbua anawaonyesha wanafunzi mwalimu anawapa wanafunzi maswali kuyatatua. mwalimu anawapa wanafunzi maswali kutatua. mafumbo jinsi ya kutatua. Mwalimu anawaita wanafunzi kufafanua ni jinsi gani walivyofumbua maswali tofauti. 35 UWEZO WA UHUSIANO NA KIHISIA UHURU USTAHIMILIVU UWEZO WA UHUSIANO NA USHIRIKIANO 36 C.7 UWEZO WA UHUSIANO NA Mwalimu anaruhusu wanafunzi kuchagua na anawahimiza KIHISIA wanafunzi kushiriki darasani. Mwalimu huwapa wanafunzi fursa ya kuchagua na kuwahimiza kushiriki katika nafasi muhimu UHURU darasani. Wanafunzi wanatumia vema fursa hizo kwa kujitolea kuchukua majukumu na kutoa mawazo na maoni yao wakati wote wa darasa. Hii inaweza kuchunguzwa darasani kwa njia ya tabia zifuatazo: Maksi 1 2 3 4 5 Alama za CHINI WASTANI JUU Ubora wa Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalimu ni Tabia dhaifu katika kuendeleza uhuru wa wanafunzi. mfanisi kiasi fulani wa kuendeleza uhuru wa wanafunzi. mfanisi wa kuendeleza uhuru wa wanafunzi. 7.1 Mwalimu hawapi wanafunzi Mwalimu waziwazi anawapa wanafunzi Mwalimu waziwazi anawapa machaguo waziwazi. Mwalimu angalau chaguo 1 la rasharasha ambalo wanafunzi angalua chaguo 1 Mwalimu anawapa anaamua jinsi gani shughuli za halihusiani na lengo la kujifunza. maalum ambalo linahusiana na lengo wanafunzi machaguo kujifunza zikamilishwe bila ya kuwapa la kujifunza. Kwa mfano: Mwalimu anawaruhusu fursa tofauti za jinsi wanafunzi wanafunzi kuchagua kati ya penseli tofauti za Kwa mfano: Mwalimu anaruhusu wanaweza kuanza kazi hiyo. rangi kukamilisha zoezi, kuamua kukaa wapi wanafunzi kuchagua kati ya kuandika Kwa mfano: Wanafunzi wanatakiwa darasani wakati wakikamilisha zoezi, insha au kutoa hotuba juu mchazo kukamilisha seti za matatizo ya hisabati kuchagua utaratibu gani kukamilisha shughuli, wanaopenda. Katika darasa la sayansi, kufuatia seti ya hatua zilizowekwa. au kumpigia kura kwenye onyesho lipi la mwalimu anawaruhusu wanafunzi Vinginevyo, mwalimu anawambia mwanafunzi lilikuwa bora. kuchagua mnyama wa kuchunguza. wanafunzi kuandika sentensi bila ya Katika darasai la hisabati, mwalimu kuwapa dhamira ya machaguo. anawaacha wanafunzi wachague ni njia gani ya kufanya mazoezi ya kuzidisha (kwa mfano, kwa kutumia vitu husika, kuchora picha, au kutumia mstari wa namba). 7.2 Mwalimu hawapi wanafunzi fursa za Mwalimu anawapa wanafunzi fursa Mwalimu anawapa wanafunzi fursa kuchukua majukumu darasani. finyu za majukumu darasani. za majukumu muhimu darasani. Mwalimu anawapa Kwa mfano: Somo ni la kimhadhara hasa Kwa mfano: Wanafunzi wanachukua orodha Kwa mfano: Mwalimu anampa wanafunzi fursa za na la mpangilio wa juu; hatimaye ushiriki ya wanafunzi wenzao, wanapangia shughuli, mwanafunzi fursa ya kutatua mlinganyo kuchukua majukumu wa wanafunzi ni kuandika tu maelezo. wanapitisha vifaa, au wanaandika ubaoni. ubaoni na kufafanua kwa darasa jinsi Majukumu finyu yanajumuisha pia kazi alivyokabiliana na changamoto kubwa ya darasani nyinginezo za darasani kama vile kuchota tatizo hilo. maji, kufuta ubao, au kusafisha darasa. 7.3 Wanafunzi hawajitolei kushiriki Wanafunzi wachache wanajitolea Wanafunzi zaidi wanajitolea darasani. kushiriki darasani kwa kuonyesha fikira kushiriki kwa kuonyesha fikira zao Wanafunzi wanajitolea zao na kuchukua majukumu. na kuchukua majukumu. kushiriki darasani Kwa mfano: Wakati mwalimu anauliza swali, Kwa mfano: Wakati mwalimu anauliza wanafunzi wachache tu wananyoosha mikono swali, wanafunzi wengi wananyoosha yao juu kujibu; baadaye wakati mwalimu mikono yao juu kushirikisha majibu yao. anauliza swali jingine, wanafunzi wale wale Wanafunzi wanaweza pia kujitolea bila ya wachache wananyoosha mikono yao juu. mwalimu kuuliza (mfano, mwanafunzi anajitolea kushirikisha matukio yanaohusiana na dhana wakati mwalimu anaifafanua). 37 C.8 UWEZO WA UHUSIANO NA Mwalimu anakuza jitihada za wanafunzi, ana mitazamo mizuri juu ya KIHISIA changamoto, na anawatia moyo juu ya mpangilio wa lengo. Mwalimu anakuza jitihada za wanafunzi juu ya lengo la kumudu uzoefu mpya au dhana, badala ya USTAHIMILIVU kukazia tu kwenye matokeo, akili, au uwezo wa asili. Kwa kuongeza, mwalimu ana mtazamo mzuri juu ya changamoto, kushauri kushindwa na kukatishwa tamaa ni moja wapo ya mchakato wa kujifunza. Mwalimu pia anawatia moyo wanafunzi kupangilia malengo ya muda mfupi au mrefu. Hii inaweza kuchunguzwa darasani kwa njia ya tabia zifuatazo: Maksi 1 2 3 4 5 Alama za CHINI WASTANI JUU Ubora wa Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalimu ni Tabia dhaifu katika kuendeleza ustahimilivu wa wanafunzi. mfanisi kiasi fulani katika kuendeleza ustahimilivu wa mfanisi katika kuendeleza ustahimilivu wa wanafunzi. wanafunzi. 8.1 Mwalimu hatambui jitihada za Katika darasa hili, mwalimu wakati Katika darasa hili, mwalimu, mara kwa mwanafunzi. Ingawa mwalimu mwingine hutambua jitihada za mara anatambua jitihada za Mwalimu anatambua anaweza kuwasifu wanafunzi kwa mwanafunzi, lakini masifu mengi wanafunzi juu ya kumudu uzoefu jitihada za wanafunzi “kuwa wenye werevu” au “wenye akili,” hulenga kwenye matokeo au akili za mpya au dhana na anazitaja mwalimu halengi kwenye juhudi au kazi mwanafunzi. waziwazi jitihada hizi. badala ya kulenga tu za wanafunzi. Kwa mfano: Mwanafunzi anapofanya vema Kwa mfano: Wakati wanafunzi wakitatua kwenye matokeo, akili, Kwa mfano: Mwalimu anasema, “Vizuri kwenye jaribio, mwalimu anasema, “Najua swali gumu ambalo wamekuwa au uwezo wa asili sana!” Wewe ni mwanafunzi mwerevu umejitahidi sana!” lakini wakati mwingi, wakipambana nalo, mwalimu anawasifu sana darasani” au “Umefanya vema!” mwalimu usifia wanafunzi kwa kusema wao ni na kukazia jitihada walizochukua kutatua Wewe ni mwerevu sana!” “werevu” au “wenye akili.” tatizo hilo. Mwalimu anasema, “Mmeendelea vema kwenye seti za kuzidisha! Nina furahi mliomba msaada. Ikiwa mkiendelea kufanya mazoezi na kutumia mbinu tulizojifunza darasani, mtayamudu yote hivi karibuni!” 8.2 Mwalimu ana mtazamo mbaya juu ya Mtazamo wa mwalimu juu ya changamoto Mwalimu ana mtazamo mzuri juu ya changamoto za wanafunzi. za wanafunzi uko pande zote. Ingawa changamoto za wanafunzi, na Mwalimu ana mtazamo mwalimu hamwadhibishi mwanafunzi kwa anawasaidia wanafunzi kuelewa kuwa Kwa mfano: Mwalimu waziwazi anakaripia kufanya makossa au akihangaika na dhana mzuri juu ya wanafunzi kwa kufanya makossa au si kushindwa na kukatishwa tamaa ni mpya, mwalimu hawezi kuweka sawa mvumilivu pale wanafunzi wanapochukua kwamba kushindwa na kukatishwa tamaa ni sehemu za kawaida za mchakato wa changamoto za muda kuelewa dhana mpya. sehemu za kawaida za mchakato wa kujifunza. wanafunzi10 kujifunza. Kwa mfano: Wakati mwanafunzi Kwa mfano: Wakati mwanafunzi anahangaika anahangaika na seti ya matatizo, mwalimu kutatua tatizo la hesabu ubaoni, mwalimu anasema, “Kumbuka, ni sawa kuhisia hapo papo anampa mwanafunzi jibu katika kukatishwa tamaa wakati tunajaribu hali ya kawaida (yaani, siyo katika hasira au kufanya kitu kipya! Tufikirie ni jinsi gani asiye mvumilivu). tunavyoweza kufanya hili.” Mwalimu pia anawatia moyo wanafunzi kufikiri kupitia nyenzo nyingine zinazoweza kusaidia (mfano, mwombo rafiki yako ushauri, kuangalia majibu ndani ya kitabu, kutumia vitu husika, au kutumia picha wakati wanafanya mazoezi ya hisabati). 8.3 Mwalimu hawatilii moyo wanafunzi Mwalimu anawatia moyo wanafunzi Mwalimu anawatia moyo wanafuzi kupanga malengo ya muda mfupi au wanafunzi kupanga malengo aidha ya kupanga malengo ya muda mrupi Mwalimu anatia moyo mrefu.11 muda mfupi AU ya muda mrefu.11 NA muda mrefu. 11 mpangilio wa lengo Kwa mfano: Kwa mpangilio wa lengo wa Mwalimu anaweza kurejea kwenye muda mfupi, mwalimu anasema, “Utasoma malengo yote mawili muda mrefu na kurasa ngapi za kitabu kila siku juma hili?” mfupi kwa wakati mmoja, hasa Kwa mpangilio wa lengo la muda mrefu, mwalimu anasema, “Ninataka uandike anapokuwa anawahiza wanafunzi mafanikio uliyofikia kwenye malengo kupanga lengo la muda mfupi ambalo tuliyopanga tulipoanza shule mwaka huu.” lingeliwasaidia kufikia lengo la uda mrefu. Vinginevyo, mwalimu anaweza kuongelea umuhimu wa kupangilia malengo kwa hali Kwa mfano: Mwalimu anasema, “Ebu ya ujumla. tufikirie juu ya malengo tuliyojipangia toka mwanzo wa mwaka. Ni nini utafanya juma Kwa mfano: Mwalimu anasema, “Ni muhimu hili kitakachokusaidia kufikia lengo hilo?” kufikiria juu ya unataka kuwa nani Vinginevyo, mwalimu anaongelea kwa utakapokuwa mkubwa.” Kwa kuongeza, utengano juu ya malengo ya muda mfupi mwalimu anafafanua jinsi wahusika wakuu na mrefu (kama ilivyo kwenye mfano wa kwenye hadithi wanavyojipangia lengo lao la “Wastani”). muda mfupi au mrefu na walivyo lifanyia kazi. 10 Changamoto hizi zinaweza kujumuisha, kufanya makosa, kupata alama ndogo kwenye jaribio, au kuhisia kukatishwa tamaa wakati wa kujaribu kuelewa dhana. 11 Malengo ya muda mfupi ni malengo ambayo wanafunzi wanatarajia kufikia ndani ya mwezi mmoja au chini, na malengo ya muda mrefu ni malengo ambayo yanachukua muda mrefu (mfano, mwaka mzima wa masomo, wakati wakiwa wakubwa). 38 C.9 UWEZO WA UHUSIANO NA KIHISIA Mwalimu anakuza mazingira ya ushirikiano darasani. Mwalimu anahimiza ushirikiano kati ya wanafunzi na anaendeleza uwezo wa mahusiano. Wanafunzi UWEZO WA wanaitikia jitihada za mwalimu kwa kushirikiana wao kwa wao darasani, wanajenga mazingira UHUSIANO NA yasiyo na ukatili kimwili au kihisia. Hii inaweza kuchunguzwa darasani kwa njia ya tabia zifuatazo: USHIRIKIANO Maksi 1 2 3 4 5 Alama za CHINI WASTANI JUU Ubora wa Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalimu ni Katika darasa hili, mwalimu ni Tabia dhaifu kwa kuendeleza uwezo wa wanafunzi kushirikiana. mfanisi kwa kiasi fulani katika kuendeleza uwezo wa wanafunzi mfanisi katika kuendeleza uwezo wa wanafunzi kushirikiana. kushirikiana. 9.1 Mwalimu haendelezi ushirikiano kati Mwalimu anaendeleza ushirikiano wa Mwalimu anaendeleza ushirikiano ya wanafunzi. juu juu kati ya wanafuzi kwa muhimu wa wanafunzi kwa Mwalimu anaendeleza kushirikishana maoni, vifaa, au kuwaomba wafanye kazi pamoja Kwa mfano: Mwalimu hatui fursa za ushirikiano wa kufanya kazi katika vikundi au wawili mawazo. kuzalisha kitu, kutatua tatizo, wawili. kukamilisha karatasi ya zoezi au wanafunzi kwa Kwa mfano: Mwalimu anawaomba kutoa wazo jipya. mwanafunzi kusoma kazi za wanafunzi kuwachangamanisha wenzao au kushirikishiana penseli za rangi. Kwa mfano: Mwalimu anawaomba na wenzao wanafunzi kuwa wawili au kuunda vikundi kukamilisha zoezi linalohitaji ushirikiano kama vile, kuchora mchoro wa mzunguko wa maji au kuja na vigiizo vinavyoonyesha mkusanyiko wa msamiati wa maneno. Mwalimu anawauliza wanafunzi kusoma kazi ya wenzao na kupeana maoni jinsi ya kuboresha kazi. 9.2 Mwalimu haendelezi uwezo mzuri wa Mwalimu anaendeleza uwezo mzuri wa Mwalimu anaendeleza uwezo mzuri mahusiano ya wanafunzi. mahusiano ya wanafunzi kwa juu juu au wa mahusiano ya wanafunzi kwa Mwalimu anaendeleza kidogo tu. kuwahimiza vile kuchukua maoni, uwezo mzuri wa kusisitiza, udhibiti wa hisia, na kutatua Kwa mfano: Mwalimu anawambia wanafunzi, “kusaidiana” wakati wa zoezi la kikundi, matatizo ya umma mahusiano ya anamwambia mtoto “kusema pole” kwa Kwa mfano: Mwalimu anamuliza wanafunzi mwanadarasa mwenzake, au anawahimiza mwanafunzi, “Unafikiriaje ilimfanya watoto kupokezana wakati wa shughuli. Hata (mwanadarasa au mhusika mkuu ndani ya kama vile kuchukua maoni, hivyo, mwalimu hafafanui kwa nini tabia hizi ni kitabu) ajisikie? kusisitiza, udhibiti wa hisia, na muhimu. kutatua matatizo ya umma12 Baada ya kusoma hadithi kuhusu mhusikia kipofu, mwalimu anawauliza wanafunzi kufikiria maisha yangelikuwaje wakiwa hawawezi kuona. 9.3 Wanafunzi hawashirikiani AU wakati Wanafunzi wanashirikiana kwa juu juu; Wanafunzi wanashirikiana wao kwa wakichangamana wao kwa wao, kunaweza kukawa na hali ndogo wao kwa kufanya kazi pamoja Wanafunzi huonyesha tabia mbaya. ambapo wanaonyesha tabia mbaya kuzalisha kitu, kutatua tatizo, wanashirikiana wao kwa Kwa mfano: Wakati wakiombwa kuchagua (mfano; kuchokoza, kusukuma, kukamilisha zoezi kwenye karatasi, kuonea). au kutoa wazo jipya. wao kwa njia ya wenziwe kufanya nao shughuli, wanafunzi kwa makusudi wanamtenga mmoja au Kwa mfano: Wanafunzi wanashirikishana Kwa mfano: Wanafunzi wanafanya kazi kuchangamanda wenzi wengi. vitendea kazi kati yao kwenye kikundi, lakini kwenye makundi kukamilisha zoezi wanakamilisha shughuli kwa kujitegemea au ambalo linahitaji kushirikiana, kama vile hawashirikiani wao kwa wao kwenye kuchora mchoro wa mzunguko wa maji au mkusanyiko wa tatizo. kuja na vigiizo vinavyoonyesha mkusanyiko wa msamiati wa maneno. Licha ya hayo, wanafunzi wanasaidiana kufanya mazoezi ya hisabati. 12 Kuchukua maoni: Uwezo wa kuzingatia hali kutoka mtazamo tofauti. Kusisitiza: Uwezo wa kutambua na kushirikishana hisia za mwingine. Kudhibiti hisia: Uwezo wa kifanisi kumudu na kuitikia majaribio ya hisia. Kutatua matatizo ya umma: Mchakato ambao mtu anachukua kutatua tatizo la mahusiano kati ya watu. Hii inaweza kuhusisha kutumia maswala ya kuzingatia mtazamo, kusisitiza, au kudhibiti hisia hadi kwenye hali ya kijamii. 39 ORODHA: VIPENGELE VINGINE VYA UBORA WA ELIMU 40 Muhtasari Zana ya uangalizi darasani Teach Primary inaambatana na orodha ambayo inatathmini vipengele vingine vya ubora na ujumuishi wa elimu. Wakati utumiaji wa orodha hii pamoja na zana ya uangalizi darasani unapendekezwa, matumizi yake siyo ya lazima. Lengo la orodha hii ni 1) kutambua idadi ya wanafunzi wenye ulemavu darasani; 2) kunasa vipengele vinavyohusiana na upatikanaji wa mazingira; na 3) kunasa vipengele vingine vinavyohusiana na elimu jumuishi, kama vile uwepo wa vifaa vya kujifunzia na kuwafundisha wanafunzi wote. Taarifa hii inaweza kujumuishwa pamoja na matokeo kutoka kwenye zana ya uangalizi darasani ili kutoa maono ya kina zaidi ya ubora na ujumuishi wa elimu inayotolewa kwa wanfunzi. Orodha inajumuisha seti ya maswali ambayo waangalizi wanapaswa kukamilisha kabla na baada ya kufanya uangalizi. Kama orodha itatumika, waangalizi wanapaswa kuwashirikisha hili walimu mara tu watakapowasili darasani. Kisha, waangalizi wanapaswa kukamilisha sehemu ya kwanza (Jaza kabla ya uangalizi darasani) mwanzo wa ziara yao, na kukamilisha sehemu ya pili (Jaza baada ya uangalizi darasani) baada ya darasa kumalizika. Baadhi ya maswali kwenye sehemu ya pili yatahitaji maoni kutoka kwa mwalimu; maswali haya yameonyeshwa na alama (*) ndani ya orodha. Sehemu ndogo ya maswali ndani ya orodha inazingatia unasaji wa kadrio la wanafunzi wenye ulemavu darasani. Maswali haya yamebadilishwa kutoka kwa Washington Group Short Set on Functioning (WG-S). Tunapendekeza kutumia seti ya awali ya vitu (Washington Group/UNICEF Child Functioning Module-Ages 5-17 years) na itifaki zake zinazohusiana na kukusanya data sahihi zaidi juu ya idadi ya wanafunzi wenye ulemavu darasani. 41 Orodha: Vipengele Vingine vya Ubora wa Elimu Orodha ifuatayo ni nyongeza iliyopendekezwa kutumika pamoja na vipengele vya uangalizi darasani vya zana ya Teach. Lengo la orodha hii ni kutathmini sehemu ziada zinazohusiana na ubora wa elimu, ikiwa ni pamoja na lakini siyo tu upatikanaji wa mazingira. Walimu wanapaswa kuulizwa vitu vinavyoonyeshwa na alama (*). **vitu vya kumuliza mwalimu Jaza kabla ya uangalizi Namba ya Shule/Kituo Namba ya Mwalimu Jina la Mwalimu* Namba ya Mwangalizi Tarehe Siku Siku Mwezi Mwezi Mwaka Mwaka Mwaka Mwaka Muda uliopangwa wa darasa* Muda kamili wa darasa Muda somo lilianza Jumla ya Mwanamke Mwanaume walioandikiswa darasani* Mwanamke Mwanaume Wanafunzi waliopo Darasa/ngazi ya darasa* Somo Idadi ya watu wazima Mwanamke Mwanaume waliopangiwa Jumla ya walimu (siyo pamoja na idadi ya kufanya kazi darasa wasaidizi) hili* Jumla ya wasaidizi Idadi ya wasaidizi wanaotoa msaada maalumu kwa mmoja au kikundi kilichochaguliwa cha wanafunzi. Nyingine (tafadhali elezea jukumu): Jaza baada ya uangalizi Muda somo lilimalizika Wanafunzi wangapi Mwanamke Mwanaume wanaweza kupata Kitabu kwa darasa (mfano. Lugha au hisabati) vifaa vifuatavyo?* Penseli au peni Daftali 42 Vifaa vya kufundishia na kujifunzia kama vile maandishi ya vipofu au vitabu vyenye maandishi makubwa Ukilinganisha na Mwanamke Mwanaume wanafunzi wenye Changamoto nyingi kuona, hata kama ni kuvaa rika moja, wanafunzi miwani? wangapi walioandikishwa Changamoto nyingi kusikia, hata kama darasani wana wanatumia vifaa vya kusaidia kusikiliza? changamoto Changamoto nyingi kutembea au kupanda zifuatazo? ngazi? Changamoto nyingi kukumbuka au kuzingatia? Changamoto binafsi kama vile kunawa au kuvaa? Changamoto nyingi kuwasiliana(katika lugha yake ya kawaida), mfano kuelewa au kueleweka? Changamoto nyingi kuwa watulivu (mfano kupiga wanafunzi mara kwa mara, kutokumweshimu mwalimu)? Ni lugha gani rasmi ya kufundishia?* Ni uwiano gani wa Wanafunzi wote wanaongea lugha hii nyumbani. wanafunzi waliojiandikisha Zaidi ya nusu ya wanafunzi wanaongea lugha hii wanazungumza nyumbani. lugha moja Chini ya nusu ya wanafunzi wanaongea lugha hii nyumbani kama nyumbani. lugha rasmi ya kufundishia?* Hakuna mwanafunzi anayeongea lugha hii (chagua moja) nyumbani. Mwalimu alitumia lugha gani kufundisha?* Wanafunzi wangapi Mwanamke Mwanaume wana Mipango Binafsi ya Elimu au wanapata msaada wa wataalam?* Idadi ya watu Mwanamke Mwanaume wazima waliomo Jumla ya walimu (siyo pamoja na idadi ya darasani wakati wa wasaidizi) uangalizi Jumla ya wasaidizi Idadi ya wasaidizi wanaotoa msaada maalum kwa mmoja au kikundi kilichochaguliwa cha wanafunzi. Nyingine (tafadhali elezea jukumu): 43 Je, ulihitaji kumaliza Ndiyo Kama ndiyo onyesha yafuatayo: uangalizi kabla ya muda Sehemu: Muda wa kumaliza: Sababu: umekwisha kwa sababu Hapan yoyote? a Je, wanafunzi Ndiyo Kwa dakika ___ hawakuwa na usimamizi? Hapan a Je ulishuhudia maneno Ndiyo Tafadhali elezea ulichoshuhudia: mabaya/utumiaji wa Hapan nguvu? a Je, vifaa hivi viko Ndiyo Hapana darasani? Ubao wa kuandikia Chaki au kalamu zipo za kuandikia kwenye ubao wakati wa somo Vifaa vingine vya kufundishia na kujifunzia mbali na vitabu (mfano; vifaa vya maabara/vifaa janja/vifaa vya Teknolojia ya Mawasiliano ya Habari Je, vifuatavyo vinaweza Paa la kuzuia hali mbaya ya hewa kuonekana darasani? Mtandao wa umeme unaofanya kazi Madirisha Je kuna mwanga wa kutosha kusoma kilichoandikwa ubaoni ukiwa nyuma ya darasa? Mwangalizi Ona: soma maandishi ubaoni ukiwa nyuma ya darasa. Je, kazi za wanafunzi zinaonekana darasani? Mbali na kazi ya wanafunzi, je darasani kuna mabango au ramani/chati? Wanafunzi ambao hawakai madawatini Kama ndiyo, wanafunzi wangapi? Je, mwalimu anaweza kufikia wanafunzi wanakofanyia kazi/madawatini darasani? Mlango mkuu wa kuingilia ni mpana kutosha kwa mlemavu mwenye baiskeli kuingia Je, vifuatavyo vinaweza Ngazi kuelekea darasani kuonekana nje ya Pandio/njia sahihi enye hali nzuri ya kutumiwa na darasa? mlemavu anayetumia baiskeli kwenda darasani 44 MASWALI YANAYOULIZWA MARA KWA MARA 45 Muda kwenye Kazi (0.1a) Wakati darasa liko kwenye mpito, nitajuaje mpito umekwisha? Mpito hunatokea katika madarasa mengi. Kama ilivyoonyeshwa katika mwongozo, fikiria kile wanafunzi wengi wanafanya na kama mwalimu anawapa fursa za kujifunza. Mpito unamalizika rasmi pale wanafunzi wengi wanapopewa shughuli ifuatayo ya kujifunza. Kwa mfano, ikiwa mwalimu anasema, “Chukueni madaftali yenu na mkamilishe zoezi kwenye ukurasa wa 3,” lakini wanafunzi bado hawajachukua madaftali yao wakati wa taswira, hii bado inazingatiwa kama shughuli ya kujifunza iwapo mwalimu ametoa shughuli ya kujifunza kwa wanafunzi wengi. Ingawaje, wanafunzi wanaweza kuwa hawafanyi kazi. Kumbuka, vitendo kama kuwapigia makofi wanafunzi wenzao haihesabiwi kuwa mpito kwa sababu wanafunzi wanampongeza mwenzao kwenye mafunzo yao. (0.1b) Nitawekaje alama wakati wa taswira, ikiwa shughuli za kujifunza zinatokea wakati huo huo? Ingawa mwalimu anafanya kazi za utawala (ambazo huchukuliwa kama kazi zisizokuwa za kujifunza), inahesabika kama shughuli ya kujifunza ikiwa wanafunzi wengi wamepewa shughuli za kujifunza. Kwa mfano, wakati wa kuchukua orodha ya wanafunzi, mwalimu anaweza kuwaomba watoto kutambua fonimu na kuandika majiya yao ukutani chini ya hefuri ya kwanza ya majina yao. (0.2) Je, wanafunzi hawako kazini ikiwa wanatoka darasani wakati wa taswira? Wanahesabiwa kuwa hawafanyi kazi. Kama wanatoka darasani kabla ya taswira, mwangalizi hasiwachukulie kam Ubora wa Utekelezaji wa Kufundisha (1.1) Je, ni lazima mwalimu atumie majina ya wanafunzi kuwatendea wanafunzi heshima? Baadhi ya tamaduni, matumizi ya majina inaweza kuwa si ishara ya kawaida ya heshima. Ikiwa mwalimu hatumii majina lakini anaonyesha ishara nyingine za tabia ya heshima (mfano, mwalimu anatumia maneno ya upendo kutaja wanafunzi, anatumia aina ya maneno ya heshima, au anaongea na wanafunzi kwa upole), hii inaweza kuwekewa alama za juu. (1.2a) Je, mawasiliano ya ishara bila maneno uhesabiwa kama lugha ya kujenga? Ingawa sifa kwa wanafunzi inaweza kutokea kwa aina nyingi, tabia 1.2 tu huonyesha ushaidi wa “lugha ya kujenga.” Kwa hivyo, mawasiliano ya ishara bila maneno kama vile kupiga makofi au kutabasamu, hayaathiri alama kwa ujumla. Hata hivyo, ikiwa mwalimu anatoa taarifa kama vile, “Tumpigie makofi,” hii uhesabiwa kama lugha ya kujenga. (1.2b) Nini kinachukuliwa kuwa lugha “thabiti” ya kujenga? Hasa, niamuaje kati ya alama ya wastani na a juu? Yote mawili uthabiti and ubora wa maoni yanapaswa kuzingatiwa. Kwa mfano, ikiwa mwalimu anasema tu, “Nyinyi ni kikundi cha wanafunzi wenye vipaji” na “Inapendeza!” ndani ya kipindi cha dakika 15, ina uzito zaidi ya mwalimu kusema, “Vizuri” mara 4. Hata hivyo, ikiwa mwalimu anasema “Vizuri sana” mara 7, hii itapata alama ya juu. Vifuatavyo ni viwango vya juu vya msingi ambavyo vinaweza kutumika kama mwongozo uliwo huru kupa alama: mifano 0 ya lugha ya kujenga upata alama ya chini, mifano ya 1 –4 ni wastani, na angalau mifano 5 ni alama ya juu. (1.3a) Ikiwa mwanafunzi anahitaji kwenda msala, je hii hufikiriwa kama uhitaji? Ndiyo, ijapokuwa mifano kwenye mwongozo inaonyesha kuwapa vifaa, msaada ya kihisia, tafadhali kumbuka kwamba hii ni mifano na siyo yenye upana. Hisia zozote zinazoonekana, vifaa, au mahitaji ya kimwili uelezewa hapa. Ikiwa mwanafunzi anahitaji kwenye msala, hii inaweza kuathiri jinsi gani anavyotilia makini darasani, na ni muhimu kwa mwalimu kuelezea juu ya hili. Ni muhimu kutambua, ambayo hajanaswa hapa ni haja ya mwanafunzi kuelewa maudhui ya taaluma kama ilivyonaswa wakati mwalimu anarekebisha somo (tabia 4.3). 46 (1.3b) Wakati wa shughuli za pamoja, mwalimu huwapanga upya washiriki kujumuisha wanafunzi wasio na wenzi. Je, hii inahesabika kama kuitikia haja ya mwanafunzi? Ndiyo, ingawa kuwapanga upya wanafunzi darasani isichukuliwe moja kwa moja kuitikia haja za mwanafunzi, ikiwa mwanafunzi hana mwenzi au kikundi cha kazi na mwalimu anawapanga upya wanafunzi kumjumuisha mwanafunzi, basi hii anachukuliwa kama kushughulikia haja ya mwanafunzi. Kwa kuwa na uhakika na hii, ni lazima kuwepo na mahitaji ya mwanafunzi yanayojulikana – mfano, mwanafunzi aidha anaonekana kutokuwa na mwenzi, au mwalimu anaweza kuuliza, “Nani hana mwenzi?” na mwanafunzi anajibu kwamba yeye hana mwenzi. (1.3c) Je kumuliza mwanafunzi kama ana haja maalum moja kwa moja inahesabika kama kushughulikia haja ya mwanafunzi? Hapana, kwa mwalimu kumuliza mwanafunzi kama anayo haja haimaanisha kushughulikia haja ya mwanafunzi. Kwa mfano, ikiwa mwalimu anauliza wanafunzi kama wana njaa au wamechoka wakati anajaribu kuwashirikisha, hii moja kwa moja haihesabiwi kama kushughulikia haja ya mwanafunzi. Hata hivyo, hii itapata alama ya wastani ikiwa mwanafunzi anaonyesha kwa ukweli haja hiyo kwa kuonyesha kwamba amechoka au ana njaa, au ikiwa ni wazi kwamba mwanafunzi amechoka au ana njaa. Kama mwalimu atashughulikia tatizo kwa kumpa mwanafunzi kitu cha kula, hii upata alama ya juu. (1.4a) Ikiwa mwalimu anatumia lugha inayohimiza nafasi sawa kwa wote darasani lakini tabia yake haionyeshi hivyo, bado inaweza kupewa alama ya juu? Hapana. Mwalimu akisema, “Sasa tumesikia kutoka kwa mvulana, tusikie kutoka kwa msichana” au “Bado, hatujasikia kutoka kwa msichana yeyote, kuna msichana anayeweza kujibu swali hili?” lakini anaendela kuwapa wavulana tu nafasi ya kuchangia kwenye mambo ya kujifunza, bado ingepata alama ya chini. Lugha inayohimiza nafasi sawa kwa wote darasani ni muhimu kutazama kama vitendo vya mwalimu vinafuatilia anavyosema na kama kuna dalili yoyote kwamba upendeleo wa jinsia au mitizamo potofu inaendelea, tabia hii itapelekea kuamua kutoa alama kwa jumla. Kwa mfano, mwalimu akitumia lugha inayohimiza nafasi sawa kama, “Naomba wavulana na wasichana wote wajibu” na anaendela kuwaulizia kwa zamu, mvulana halafu msichana wakati darasani hakuna idadi sawa ya jinsia(kwa mfano, wavulana 3 na wasichana 28) halafu hii ingepewa alama ya chini kwa sababu wavulana wanapata nafasi nyingi ya kuchangia darasani. (1.4b) Je, nini kinatokea ikiwa mwanafunzi atasema kitu kinachoonyesha upendeleo wa jinsia au mitizamo potofu? Ikiwa mwanafunzi anaonekana anasema kitu kinachoonyesha mitizamo potofu darasani kama vile, “Wasichana hawawezi kufanya hisabati!” au “Kufanya usafi siyo kazi za wavulana!” na mwalimu hasemi chochote, ingepata alama ya chini. Ikiwa mwalimu akijibu kwa kusema matamshi hayo siyo mazuri, lakini mwalimu hayapingi, ingepata alama ya wastani. Lakini, ikiwa mwalimu akijibu kwa kusema matamshi hayo siyo mazuri na kupinga mtizamo potofu kwa kusema, “Siyo kweli, kuna wavulana wengi wanaosaidia wazazi wao na kazi za kusafisha nyumba,” halafu ingepata alama ya juu. (1.4c) Je, mwalimu anaweza kupinga mitizamo potofu ya kijinsia au ulemavu kwa kutumia vifaa darasani? Mwalimu akitumia vifaa au mifano inayoypingana na upotofu wa kijinsia au ulemavu (kwa mfano, maandishi au picha inayoonyesha mwanaume anayepika au anayemwosha mtoto) kwenya shughuli za darasani, inaweza kuhesabiwa kama mfano wa kupinga mitizamo potofu ya kijinsia au ulemavu na ingepata alama ya juu. (2.1) Je, matarajio ya tabia ni tofauti na maelekezo au maagizo ya shughuli? Matarajio ya tabia yanazingatia tabia inayotarajiwa wakati wa shughuli, wakati maagizo ya shughuli yanazingatia hatua zinazohitajika kutekeleza shughuli hiyo. Kwa mfano, mwalimu anaweza kutoa maagizo ya shughuli kwa kusema, “Soma aya ya kwanza na kujibu maswali ukurasa wa 12” – hii inawaeleza wanafunzi kile wanachohitaji kufanya ili kutimiza shughuli hiyo. Kwa upande mwingine, mwalimu anaweza kueleza matarajio ya tabia kwa kusema, “Kama una swali lolote, polepole nyosha mkono wako” – hii inaweka wazi matarajio ya tabia kwa wanafunzi kufuata wakati wa shughuli. 47 (2.3) Mwanafuzni alikuwa analala darasani, lakini najua alikuwa anashughulika usiku kucha. Mwalimu anamwonea huruma huyo mwanafunzi na anamruhusu kulala. Je, hii itaathiri alama? Kuna masuala 2 hapa. Kwanza, mwangalizi anahitaji kuwa mwangalifu kutovutiwa na taarifa yoyote ya nje wakati wa kuweka alama. Bila kujali sababu yoyote, weka alama kwenye kile kinachoonekana wakati wa kipindi cha uwekaji alama. Suala la pili ni ufafanuzi wa tabia mbaya. Sababu mbili zinaweza kuchukuliwa wakati wa kuamua ikiwa mwanafunzi ni mtundu: kama mwanafunzi analeta vujo darasani (anawasumbua wanafunzi wanao jaribu kuwa makini wakati wa somo), NA ikiwa mwalimu anasumbuliwa na usumbufu huu. Ikiwa mwalimu au wanafunzi wengine hawasumbuliwi kwa sababu mwanafunzi analala na haisumbui mtiririko wa somo, alama tabia 2.3 inaweza kuwa ya juu kulingana na vithibitisho vingine darasani. (3.1) Wanafunzi wanasoma na kujadili hadithi darasani. Mwalimu anasema, “Leo tutaongelea juu ya (mada ya hadithi).” Je, hii inahesabika kama kuelezea lengo la somo? Lengo la somo linatakiwa kueleza kwa nini darasa linafanya shughuli hiyo, badala ya shughuli ambazo wanafunzi wanafanya. Kwa mfano, shughuli inaweza kuwa kusoma kifungu juu ya mimeo na kujibu maswali kulingana na ujumbe huo, ambapo lengo la shughuli ni kujifunza juu ya usanisinuru. Katika hali hii, ingawa mwalimu anafafanua kwa uwazi shughuli darasani, kuwe na haja ya kuelezea kwa nini wanafunzi wanasoma hadithi (kujifunza msamiati mpya, sehemu mbali mbali za hotuba, n.k.). Hivyo, kauli hii pekee haihesabiki kama ufafanuzi dhairi wa lengo la somo. (3.2a) Tunamaanisha nini kusema “aina za uwasilishaji”? Aina za uwasilishaji zinaeleza jinsi walimu wanavyo wasilisha na kuelezea maudhui ya somo. Kuna aina sita za uwasilishaji zinazotumika mara kwa mara na walimu darasani, mifano hii ni: • Lugha inayozungumzwa – kwa mfano, mwalimu analezea kwa maneno maudhui kwa wanafunzi. Hii inajumuisha kama wanafunzi wanamsikiliza mwalimu wakati anasoma, au mwalimu anaweka kipindi cha mazungumzo cha redio, video, au teknologia nyingine kwa wanafunzi. • Muziki – kwa mfano, Mwalimu anatumia njia ya kuimba au aina nyingine ya muziki wakati anawaeleza wanafunzi maudhui. Wanafunzi wanaweza kuimba pia au la. Inajumuisha wanafunzi wanaposikiliza muziki na/au sauti nyingine kutoka redio, video, au teknologia nyingine. • Maandishi – kwa mfano, Mwalimu anatumia herufi, maneno, namba, na/au alama kwenye ubao anapowaelezea wanafunzi maudhui. Inajumuisha mwalimu anapowambia wanafunzi kuagalia maandishi ubaoni, mabangoni, karatasi za kazi, vitabu, na/au kwenye runinga. • Vielezo – kwa mfano, Mwalimu anatumia picha, mabango, picha kwenye kitabu na/au michoro mingine anapowaelezea wanafunzi maudhui. Inajumuisha vielezo v ingine kama michoro ubaoni, lugha ya ishara, na picha kwenye video au teknologia nyingine. • Vitu husika – kwa mfano, Mwalimu anataja na/au anatumia vitu anapowaelezea wanafunzi maudhui. Inajumuisha mtumizi ya herufi za vipofu au lugha nyingine za vitu. • Mwenendo – kwa mfano, Mwalimu anatumia kucheza muziki, kufanya mazoezi, na/au mambo mengine ya mwili anapowaelezea wanafunzi maudhui. Kumbuka kwamba kila aina inayotajwa juu inaweza kuhesabiwa mara moja tu. Kwa mfano mwalimu akitumia vielezo mara mbili darasani, kwa mfano, akiwaonyesha wanafunzi picha ya samaki kwenye kadi halafu badaye anawaonyesha picha ya wanyama wa bahari kwenye kitabu cha hadithi bado ingehesabiwa kama aina ya uwasilishaji moja. (3.2b) Je, mfano mmoja unaweza kuhesabiwa kama aina zaidi ya moja ya uwasilishaji? 48 Ndiyo. Mwalimu anaweza kutumia kitu kimoja kueleza na kuwasilisha maudhui darasani kwa njia tofauti. Kwa mfano, mwalimu anaweza kuwasomea wanafunzi kutoka kwenye kitabu (lugha inayozungumzwa) wakati wanafunzi wanafuatilia kwenye vitabu vyao (maandishi). Pia, mwalimu anaweza kushikilia kitabu mbele ya darasa kuwaonyesha mchoro (vielezo) wakati anapowaelezea maudhui ya darasa (lugha inayozungumzwa). Mwalimu akiwaomba wanafunzi wasome au kufanya zoezi kwenye kitabu bila kutumia kitabu kueleza maudhui ya darasa, hii haitahesabika kama aina ya uwasilishaji. Vitabu vinaweza kuhesabiwa tu kama aina ya uwasilishaji wakati mwalimu akitumia kitabu kueleza maudhui ya darasa. (3.2c) Je, aina zote za uwasilishaji zinahitaji kuonyeshwa au kuanzishwa na mwalimu? Hapana. Mwalimu anaweza kumwomba mwanafunzi aje ubaoni kufanya zoezi (kwa mfano, kuchora pembetatu inayokuwa na pembe mraba) na halafu mwalimu anataja mchoro wake wakati anafundisha. Kwenye mifano hiyo, mfano unaotajwa na mwalimu, pia ungehesabiwa kuwa aina za uwasilishaji. (3.2d) Je, aina zote za uwasilishaji zinahitaji kuwa kwa darasa nzima? Mwalimu akieleza maudhui kwa mwanafunzi mmoja wakati anafanya kazi peke yake au kwenye kikundi na inaweza kuonekana/kusikiwa na mwangalizi, halafu aina za uwasilishaji zinazotumika kwenye mifano hiyo zingehesabiwa. Kwa mfano, ikiwa mwalimu akitaja picha iliyochorwa na mwanafunzi wakati akimpa mwanafunzi huyo majibu, huu ni mfano wa vielezo na unaweza kuhesabiwa kama aina nyingine za uwasilishaji kama tayari vielezo havijahesabiwa darasani. (3.3a) Ni nini hasa kinahesabika kama maisha ya kila siku ya wanafunzi na inaamuliwaje kuwa yenye “maana?” Mwalimu anatakiwa kuelezea kwa uwazi ni jinsi gani maudhui yanahusianaje na maisha ya wanafunzi, badala ya waangalizi kusema nini wanafikiria kinachohusiana na maisha ya wanafunzi. Ikiwa mwalimu anasema tu vitu ambavyo wanafunzi wanaweza kukabiliana navyo katika maisha yao ya kila siku, kama vile “Hebu tuhesabu maua,” hii haichukuliwi kuwa ni uhusiano unaofaa. Hata hivyo, ikiwa mwalimu anaelezea kwa uwazi taarifa inayohusianisha maisha ya wanafunzi, kama vile “Hili hapa ua kama tulilonalo bustanini,” hii itajariu kufanya uhusiano. Kwenye mfano hapo juu, kama hakuna ubainifu mwingine, tabia itapata alama ya wastani kwa sababu haihusianishi wazi wazi lengo la somo. Hata hivyo, ikiwa baada ya kuhusianisha wazi wazi na bustani yao, anaweza kuhusianisha mfano na lengo la somo kwa kusema, “Kwa hiyo, ikiwa tuna bustani 2 kila moja ina maua 6, je kuna jumla ya maua mangapi?”, hii inapata alama za juu kwa sababu mwalimu amehusisha kwa uwazi mfano pamoja na yote, maisha ya kila siku ya wanafunzi na lengo la somo. (3.3b) Nini kinahesabika kufanya mahusiano na maarifa ya maudhui mengineyo? Je, kukumbuka kile kilichojifunzwa hapo awali kinahesabika kama mahusiano? Inawezekana – hasa ikiwa mwalimu anajaribu wazi wazi kuhusianisha somo na maarifa ya maudhui yaliyopita. Kwa mfano, kama mwalimu anasema, “Kumbuka tulipojifunza herufi? Leo tutatumia herufi kuunda silabi,” hii itapata alama za wastani kwa sababu ingawaje mwalimu wazi wazi alihusianisha maudhui mapya na yaliyopita, anafanya hivyo juujuu tu. Hata hivyo, ikiwa mwalimu anaendelea kwa undani jinsi ya kutumia herufi kuunda silabi, hii itapewa alama za juu kwa sababu mwalimu siyo tu anakumbusha yaliyofundishwa hapo awali na kurejesha jinsi inavyohusianisha na maudhui mapya lakini pia anajenga juu ya maudhui yaliyopita ili kufahamisha zaidi nyezo mpya. Kama mwalimu anakumbuka tu yale waliyojifunza katika somo hapo awali bila ya kufanya kwa wazi uhusiano wa somo la sasa, hii itapewa alama ya chini. Kwa mfano, mwalimu anasema, “Kumbuka jinsi tulivyojifunza hesabu za sehemu jana? Leo tutajifunza juu ya sehemu za desimali.” 49 (3.4a) Ninasumbuka na mifano? Nitajuaje nitakapoiona? Nini hasa niangalie wakati wa mifano? Kutoa mfano wa utaratibu au uwezo utaonyesha shughuli ambayo wanafunzi wameambiwa kufanya katika somo hilo au katika siku za usoni. Walimu wanaweza kutoa mifano kwa kuonyesha vitendo vya utaratibu (kuonyesha jinsi ya kufanya kazi) au kufikiri kwa sauti. Mfano wa utambuzi, au “kufikiri kwa sauti,” inamaanisha kuwa wakati mwalimu akijadili wazi juu ya mchakato wa mawazo au mkakati kwa wanafunzi kwa kufikiria juu ya changamoto mbalimbali kwa sauti (mfano, jinsi ya kuchunguza taarifa maalum kutoka kwenye maswali ya mafumbo, jinsi gani ya kutambua mandhari ya mada). Wakati mwalimu anaonyesha mfano wa utaratibu, anaonyesha mfano mzima, au baadhi, ya hatua za mchakato wa mfano mzima au kiasi. Kuonyesha jawabu la mwisho inaweza kuonekana tofuati katika taaluma nyingi; hata hivyo, inawapatia wanafunzi mfano wa kuendelea kufutalitia. (3.4b) Je, mifano hutokea mara kwa mara kabla ya shughuli? Ingawa kwa kawaida wazo la mfano ni wakati mwalimu anaonyesha au kufikiri kwa sauti juu ya shughul na kisha wanafunzi wakamilishe shughuli hiyo, mifano inaweza kutokea baada ya shughuli. Mfano unaweza kutokea wakati mwalimu anaonyesha utaratibu au kufikiria kwa sauti bila kujali ni mwanzo au mwisho wa shughuli hiyo. Kwa hili kutokea, ni lazima kwamba kazi inayoonyeshwa ni sawa na kazi ambayo wanafunzi wanatarajiwa kufanya au wameshafanya. Mfano unaweza kutokea mwishoni mwa somo ikiwa mwalimu atawaonyesha wanafunzi mchakato mzima wa kutatua tatizo. Bali, kuonyesha majibu wakati wa kujifunza au kutatua maswali ya hisabati haitachuliwa kuwa mfano. (3.4c) Ni nini tofauti kati ya ufafanuzi wa maelezo na mfano? Kuonyesha mfano kwa wanafunzi, mwalimu anatakiwa kufanya kazi au baadhi ya kazi hiyo anayotaka wanafunzi kufanya. Hii ni tofauti na kuwapa maelekezo au ufafanuzi wa shughuli kwani inahitaji mwalimu kuonyesha. Mwalimu anaweza pia kuonyesha fikira zake juu ya mchakato kama sehemu moja yapo ya mfano. Ikiwa kazi ni kujifunza maana ya maneno ndani ya kifungu na mwalimu anawapa wanafunzi maana ya maneno, hii itachangia wazi maelezo ya (3.2), lakini si lazima kuesabika kama mfano. Mfano wa mfano utakuwa kama mwalimu anaelezea jinsi anavyotumia vidokezo kutafuta maana ya neno. Kwa mfano, mwalimu anaweza kusema, “Wakati sijui maana ya neno (kwa hali hii, “ghafla”), nitasoma tena sentensi, na fikiri juu ya muktadha, ninasoma……, hivyo ninaelewa inamaanisha mzinduo au isiyotalajiwa.” Katika darasa la hisabati, mwalimu anaweza kuwa anafanya kazi na wanafunzi kukadiria ulefu kwenye vipimo. Anaweza kufafanua urefu wa sentimita na kutoa mifano ya vitu vya kawaida vilivyo na urefu sentimita moja – hii ni moja wapo wa maelekezo yake (3.2). Kutoa mfano, mwalimu anaweza kuwaonyesha wanafunzi jinsi ya kukadiria. Kwa mfano, anaweza kuonyesha upana wa kidole chake sm 1 na anaweza kutumia maarifa haya kujaribu kukadiria urefu wa pensili kwa kufikiri juu ya (au kupima) upana wa kidole unatosha urefu wa pensili. (3.4d) Bado ninasumbuka kutambua mfano. Vidokezo vyovyote? Kutambua ikiwa mwalimu ameonyesha mifano, jiulize mwenyewe: 1. Shughuli ya kujifunza ni nini? Nini wanafunzi wanaombwa kufanya au kujifunza? Je, mwalimu aliwaonyesha wanafunzi mchakato huu au uwezo unaonekanaje? a. Je, kitu walichoambiwa wanafunzi kufanya ni mchakato au uwezo wa kufikiria? b. Ikiwa wanafunzi wameombwa kufanya uwezo wa kufikiri, mwalimu anatakiwa kufikiri kwa sauti kupata alama ya juu. Ikiwa kazi ni utaratibu, mwalimu anatakiwa kuwaonyesha wanafunzi hatua zote za mchakato. 2. Harafu wanafunzi wanakamilisha shughuli inayofanana kwenye somo hilo au siku za usoni. 50 (3.4e) Ukiwa mwalimu anaonyesha utaratibu — kwenye kugawanya, kwa mfano — lakini wanafunzi wanaombwa kufanya kazi tofauti ya kugawa, je itachukuliwa kama mfano? Ikiwa wanafunzi wanafanya utaratibu, inaweza kuwa mfano kiasi. Hata hivyo, ikiwa wanafunzi wanachofanya hakihusiani na utaratibu ulioonyeshwa na mwalimi, haihesabiki kuwa mfano. Hivyo, wakati shughuli si lazima kuwa sawa sawa, baadhi ya au taratibu zote zilionyeshwa zinahitajika kujumuishwa ndani ya shughuli ili kuhesabiwa kama uthibitisho wa mfano. (3.4f) Je, wanafunzi na walimu kwa pamoja wanaweza kuunda mfano au ni mwalimu tu? Ingawaje kila mara tunafikiri walimu wanapotoa mifano kwa ajili ya manufaa ya wanafunzi, mambo mengine hujitokeza ambapo mfano hauongozwi na mwalimu pekee na wanafunzi wanaweza kuwa sehemu moja wapo ya mchakato huo. (4.1a) Je, shughuli inaweza kuwa sehemu ya kupima ufahamu? Ni muhimu kufuatilia mwongozo kwa kukumbuka kwamba mwalimu anahitaji kuuliza maswali kupima ufahamu. Hata hivyo, maswali yanayoulizwa na mwalimu yanaweza kuwa maandishi au kwa maneno, ambayo yanaambatanisha shughuli. Kwa mfano, mwalimu anaweza kuwapa wanafunzi jaribio lililoandikwa na kupima majibu yao kutambua kiwango chao cha ufahamu. Ni muhimu kukumbuka kwama, kupima ufahamu si kuwapa tu jaribio; mwalimu anatakiwa kupima majibu ya wanafunzi kwenye kipengele hicho ili kuhesabika kama kupima ufahamu. Kwa kuongeza, kupima kazi za nyumbani (au kazi zilizotolewa kabla ya uangalizi wa kipengele hiki) haihesabiki kuwa kupima ufahamu isipokuwa ni wazi kwamba maudhui ya kazi yanahusiana na somo la wakati huo. (4.1b) Ninajuaje kama vipimo vya ufahamu ni “fanisi”? Hasa, utofauti kati alama za wastani na juu ni zipi? Tabia hii imeundwa ili kupata kiwango ambacho mwalimu ufanya jitihada kupima ufahamu wa wanafunzi., mwalimu huwapa wanafunzi fursa ya kuonyesha kila wanachoelewa. Kwa mfano, njia yenye ufanisi wa juu kabisa kupima ufahamu ni kwa kuwaomba wanafunzi kuja ubaoni ili kukamilisha tatizo la hisabati. Hii inawekwa katika hali hii kwa sababu mwalimu anaweza kuona kiwango ambacho kila mwanafunzi anaelewa na yuko tayari kukamilisha kazi; hata hivyo, mfumo huu haumruhusu mwalimu kupata taarifa juu ya ufahamu wa wanafunzi WENGI. Kinachotofautisha kati ya alama za wastani na za juu ni ikiwa mwalimu anapata taarifa juu ya ufahamu wa wanafunzi WENGI wakati wote wa somo. Kwa mfano, njia yenye ufanisi ambayo mwalimu angeliweza kutambua ufahamu wa wanafunzi wengi kwa kuwauliza kukubali au kukataa taarifa iliyotolewa kwa kunyoosha kidole juu au chini. Tabia hii haionyeshi ikiwa mwalimu anafanya kitu na taarifa hiyo (hii inaonyoshwa 4.3). (4.2a) Wakati wa kazi za pekee/kikundi mwalimu anazunguka lakini hakaribia wanafunzi kuongeanaye kabisa. Je, hii inahesabiwa kama kuchunguza? Ndiyo. Mwalimu anaweza kuangalia ufahamu wao bila kutoa maoni. Wakati wingine ni vigumu kutambua kama mwalimu anaangalia kazi za wanafunzi wakati anazunguka. Kwa hiyo, mwalimu akiwa anazunguka darasani tu wakati wa kazi za pekee au kikundi, tabia hii inapata alama za wastani. Uthibitisho wa macho utahesabiwa pia: kwa mfano, mwalimu ananyoosha kidole kwenye kazi ya mwanafunzi, anainama chini karibu ya mwanafunzi, au anasema kitu ambacho labda mwangalizi hawezi kusikia. Mwalimu akiwa anawachunguza wanafunzi wengi kwa njia hiyo, tabia hii inaweza kupata alama za juu. (4.2b) Mwalimu anawambia wanafunzi kuandika jina ya shule na tarehe daftarini. Wanatumia muda mwingi kufanya kazi hiyo. Je, hii inahesabiwa kama kazi za pekee? Ndiyo, wanafunzi wakiwa anaandika kwenye madaftari pekee wanafanya shughuli za kujifunza. Mifano mengine ya kazi za pekee ni: mwalimu akiwambia waandike yaliyopo ubaoni na kufanya shughuli pekee walizopewa na mwalimu (kwa mfano, andika jina kamili, chora picha, pata jibu kwenye hesabu, nk.). 51 Wanafunzi wakiwa wanasoma kitu kwa pamoja (kwa mfano, herufi) na mwalimu anazunguka darasani na anamkaribia wanafunzi na kutoa marekebisho, hii ingehesabiwa kama kazi za darasa nzima. Kwa hiyo, haihesabiwi kama kazi za pekee/kikundi. Maoni ya mwalimu yanahesabiwa chini ya maoni (5.1) na/au kurekebisha (4.3). (4.3a) Mifano mingi kuhusu mwalimu kurekebisha ufundishaji ni kuhusu maelezo ya maudhui. Je, kuna njia nyingine mwalimu anaweza kurekebisha ufundishaji? Ingawaje, mwalimu anaweza kurekebisha ufundishaji kwa njia ya kueleza maudhui zaidi. Kumbuka kurekebisha ufundishaji inamana mwalimu anawapa wanafunzi fursa zaidi za kujifunza na mwalimu anaweza kufanya hivyo kutoka njia tofauti tofauti. Kwa mfano, mwalimu anaweza kuwaongezea wanafunzi muda wa kumalizia kazi, anaweza kuwapa wanafunzi waliomalizia mapema shughuli nyingine au shughuli zilizokuwa ngumu zaidi, au anaweza kutoa maoni yake. Wakati wengine kitu kimoja kinaweza kuhesabiwa kwenye maoni na kurekebisha zote sababu mwalimu anaweza kutoa maoni kuhusu kazi ya wanafunzi na kurekebisha ufundishaji kwenye wakati moja. Lakini, huwezi kuhesabu kila oni kama kurekebisha ufundishaji. Ikiwa mwalimu akimwomba mwanafunzi kutoa taarifa kwa njia tofauti kuwasaidia wanafunzi wengine kuelewa (kwa mfano, kuandika kwa herufi kubwa zaidi au kuongea kwa sauti kubwa ili wanafunzi wengine wasikie), hii pia inahesabiwa kurekebisha ufundishaji. Mwalimu pia anaweza kurekebisha kwa kujiandaa kabla ya kazi ili kukithi mahitaji tofauti au hatua ya uelewa ya wanafunzi. Hii ingelikuwa ni pamoja na kuwapa wanafunzi shughuli rahisi au ngumu kulingana na hatua ya uelewa wao. Mwalimu pia anaweza kumpa mwanafunzi kazi iliyobadilishwa kulingana na mahitaji yake, kwa mfano kumpa mwanafunzi kipofu breli au kutumia ishara kwa mwanafunzi kiziwi. (4.3b) Je, kubadilisha lugha ya ufundishaji inaweza kuhesabiwa kama marekebisho ya ufudishaji? Mfano mwengine wa kurekebisha ufundishaji ni kubadilisha lugha ya ufundishaji ili kusaidia uelewa wa maudhui. Hii inaweza kutokea kwa kutoelewa kwa mwanafunzi au kutokana na maelezo ya mwalimu wakati inaonekana wazi wanafunzi wanapata shida kuelewa maudhui au ujuzi (kwa mfano, inawezekana mwalimu anauliza swali na wanafunzi wote wananyamaza, hii inasababisha walimu kubadilisha lugha ya ufundishaji kusaidia wanafunzi kuelewa). Katika mazingira ya lugha nyingi ni kawaida kwa mwalimu kubadilisha lugha mara kwa mara na kwenye mazingira kama haya ni lazima mwangalizi kuelewa kama mwalimu anatumia lugha kurekebisha ufundishaji kusaidia uelewa wa maudhui. Kubadilisha lugha ya ufundishaji kama mfano wa kurekebisha ufundishaji itawekwa alama ya wastani tu isipokuwa mfano mwengine wa kurekebisha vema. Hii ni kwa sababu wangalizi wanaweza kutoelewa lugha ya ufundishaji na kwa hiyo hawawezi kuamua kama ni urekebishaji mdogo au mkubwa wa ufundishaji. (5.1/5.2) Mwalimu anatoa maoni au mapendekezo maalum mara moja tu. Je, inatosha kupata alama za juu? Ndiyo, lakini inategemea na ubora wa maoni ya mwalimu. Mwalimu akitoa oni moja ambalo lina taarifa za kina ambayo husaidia kufafanua kutokuelewa kwao au husaidia kutambua mafanikio yao, tabia inaweza kupata alama za juu. Kwa mfano, wakati mwalimu anampa mwanafunzi maoni yake mwalimu anaweza kusema, “Katika hali ya kupanda, inabidi uanze na namba gani? Namba inayokuwa kubwa au ndogo zaidi? Ndogo zaidi. Lakini umeanza na iliyo kubwa zaidi. Namba zinazopanda zinaanza na inayokuwa ndogo zaidi, lazima iwe hivyo.” Hata hivyo, kama oni siyo la kina na maalum au ni kidokezo labda ingepata alama za wastani. Kwa mfano, wakati wanafunzi wanafanya kazi peke yao mwalimu anazunguka na anamwambia mwanafunzi, “Usiandike hapo, anza kuandika kutoka hapa” au “Acha nafasi maneno yako yanahitaji kupumua.” Maoni haya siyo maalum. (6.1) Mwalimu anauliza maswali mengi yanayohitaji kujieleza lakini hawapi wanafunzi nafasi ya kutoa jibu, au anajibu maswali yake menyewe. Je, niwekaje alama? Huu ni mfano mzuri unaoweza kutofautisha tabia ya juu na tabia ya wastani. Mwalimu akiuliza maswali mengi yanayohitaji kujieleza lakini hawapi wanafaunzi nafasi ya kujibu au akijibu kwa niaba ya wanafunzi, inamana mwalimu hawezi ongezea kwenye jibu la mwanafunzi. Hivyo, hii ingepewa alama za wastani. Kupata alama za juu, lazima mwalimu aulize maswali matatu yanayohitaji kujieleza au Zaidi NA angalau 1 wapo au Zaidi linajenga jibu la mwanafunzi. 52 (6.2/6.3) Kwenye tabia hii, niwekaje alama kama wanafunzi wana kamilisha karatasi ya zoezi? Nitajuaje kama karatasi ya zoezi ni shughuli za kufikiria au siyo? Kama huwezi kutambua kuna nini kwenye karatasi ya zoezi huwezi kuihesabu kama shughuli ya kufikiria. Kumbuka, lazima uweke alama kutokana na unachoweza kusikia na kuona tu. Ukipata thibitisho ni nini kipo kwenye karatasi ya zoezi (kwa mfano, kati ya maelekezo ya mwalimu au maswali wanafunzi wanayouliza), weka alama ambazo zinalingana na alama za ubora wa tabia iliyomo kwenye mwongozo. (6.3) Kujibu maswali yatakayohitaji kujieleza inaweza kuhesabiwa kama kufanya shughuli za kufikiria? Kujibu maswali yanayohitaji kujieleza yanaweza kuhesabiwa ya kufanya shughuli za kufikiria kama wanafunzi wanafanya shughuli za kufikiria pamoja na jibu lao. Kwa mfano, baada ya kusoma hadithi, mwalimu anauliza, “Je, unadhani mhusika mkuu akajisikiaje baada ya kushindwa kwenye shindano?” Mwanafunzi akijibu, “Nadhani akajisikia vibaya kwa sababu alijiandaa kwa bidi sana na alikuwa na hamu kabisa kushinda shindano”, hii ingelihesabiwa kama kufanya shughuli maalum za kufikiria sababu mwanafunzi anaeleza mawazo yake (rudia kwenye Jedwali la Shughuli za Kufikiria kwa mifano mingine). Hata hivyo, mwalimu akiuliza swali linalohitaji kujieleza na wanafunzi wanajibu na taarifu walikariri tu, halihesabwi kama kufanya shughuli za kufikiria. Kwa mfano, mwalimu anauliza, “Je, nini ilitokea bada ya mhusika mkuu kushindwa kwenye mshindano?” Mwanafunzi akijibu, “Akalia”, hili lisingehesabiwa kama kufanya shughuli za kufikiria sababu mwanafunzi anakumbuka taarifa alilokariri tu. Kumbuka, hata kama umeweka alama za wastani au za juu kwa 6.3 kutokana na mwanafunzi kujibu swali la kujieleza, bado haitahesabika kama uthibitisho wa 6.2 isipokuwa mwalimu anatoa kazi zingine za kufikiria. (7.1a) Maswali yatakayohitaji kujieleza au shughuli za kufikiria yanaweza kuhesabiwa kama kuwapa wanafunzi machaguo? Mwalimu akiuliza maswali yatakayohitaji kujieleza yasingehesabiwa kufaa kama machaguo. Shughuli za kufikiria zingeweza kuhesabiwa kama kuwapa wanafunzi machaguo kama maelekezo ya mwalimu uonyehsa wazi wazi anadhamilia wanafunzi kuchagua. Kwa mfano, mwalimu anaweza kusema, “Tumia mada yoyote kuandika insha yako” au “Unaweza kuamua njia gani utatumia kupata jibu.” (7.1b) Kwenye tabia hii, ninaweka alama kivipi kama hakuna lengo wazi? Kama mwalimu hasemi lengo la darasa ni nini na kama lengo haliwezi kufahamika kutokana na shughuli za somo tabia hii haiwezi kupata alama za juu. Inaweza kupata alama za wasani kama chaguo lipo na ya chini kama hakuna chaguo. (7.3) Mifano ya ubainifu ya kujitolea ni nini? Inayohesabiwa hapa kwenye tabia hii ni kama wanafunzi wanajitolea kutoa taarifa au kama wanafanya wanayotakiwa kufanya tu. Kutoa taarifa iliyokaririwa au kuitikia kwa pamoja kwenye maswali ya mwalimu haihesabiwi kama kujitolea darasani. Kwa mfano, mwalimu akiuliza, “Mnaelewa?” na wote wana jibu “Ndiyo” hahisabiwi kwa tabia hii. Ingawaje, mfano kwenye mwongozo ni “wananyoosha mikono yao juu.” Pia wanafunzi wanajitolea kutoa taarifa wakiwa wanajibu maswali bila kuitwa. Hata kama wanafunzi hawanyooshi mikono yao juu, kama wanafunzi walio wengi wanajitolea kujibu maswali ya mwalimu, bado tabia hii inapata alama za juu. Kwa mfano, mwalimu anaweza kuuliza, “Nani anajua jibu?” Kama wanafunzi waliyo wengi wanasema majibu yao (kwa njia ya kunyoosha mikono yao juu au bila ya kunyoosha mikono yao juu) (kwa mfano, kusema, “Mimi!! Mimi!!”, “Jibu ni tano!”, nk.) tabia hii inapata alama za juu; wanafunzi wachache wakinyosha mikono, inapata alama za wastani. Kumbuka, wanafunzi wengi wanahitaji kujitolea wakati mwingi wa darasa kupata alama za juu. 53 (8.1a) Je, kama wanafunzi hawana jitihada darasani ninaweka alama kivipi? Kama mwalimu hatambui jitihada za wanafunzi, hata kama hawapi shughuli au maswali yanayowapa wanafunzi changamoto au wanafunzi hawanyi juhudi yoyote, bado ungeweka alama za chini. Siku zote mwalimu anaweza kutambua vitu wanafunzi wamefanya au wanafanya (kwa mfano, shughuli waliyoambiwa wafanye nyumbani juzi) ambavyo vinaweza kuwasababisha wanafunzi watambuliwa kwa jitihada zao. (8.1b) Utofauti kati ya kutambua jitihada (8.1) na kutumia lugha inayojenga (1.2) ni nini? Kutambua jitihada za wanafunzi ni kutumia maoni yanayosisitiza hasa kwenye kazi na jitihada ya wanafunzi. Inawezekana maneno ya kutambua jitihada za wanafunzi pia yatahesabiwa kama kutumia lugha inayojenga, lakini siyo lazima kwamba maneno ambayo yanakuwa lugha inayojenga ni kutambua jitihada ya wanafunzi. Kwa mfano, “Umejiendeleza sana kwenye kuandika! Ninaweza kuona umefanya mazoezi!” ni lugha inayojenga NA kutambua jitihada za wanafunzi. Mwalimu akisema, “Kazi njema!! Unaweza kuandika haraka!” ni mfano wa lugha inayojenga lakini SIYO kutambua jitihada ya wanafunzi. (8.2a) Kama hakuna makosa darasani, nitajuaje mtazamo wa mwalimu juu ya changamoto? Kuna machaguo matatu, chini, wastani, na juu. Mtazamo wa mwalimu juu ya changamoto ni lazima uwekwe kwenye moja yapo ya chaguo hizo. Swali lolote mwalimu analowaulizia wanafunzi linaweza kuwa changamoto kwa wanafunzi. Kutokana na kumwangalia mwalimu katika kipindi kizima utaweza kupata taarifa ya kutosha kuweka alama kwa tabia hii. Kama mwalimi ana mtazamo wastani, haonyeshi kukasirika, kushindwa kuvumilia, au kuwagombeza au kuwapa adhabu wanafunzi kwa ajili ya kukosea, tabia hii inapata alama za wastani. (8.2b) Mwalimu hakumgombeza mwanafunzi lakini akaonekana kama amechukizwa. Vipi, niwekaje alama? Kugombeza ni mfano wa mtazamo mbaya juu ya changamoto lakini pia kuna njia nyingine mwalimu anaweza kuonyesha mtazamo mbaya kama kuonekana kama amechukizwa na kushindwa kuvumilia. Ni muhimu kuzingatia kuhushu utofauti wa utamaduni (kama 1.1) (8.2c) Wakati wa kuweka alama za mtazamo mzuri juu ya changamoto za wanafunzi, je, niangalia tukio bora au wastani ya kipindi? Kwa tabia hii, inabidi wangalizi waangalie mtazamo wa wastani wa mwalimu katika kipindi kizima. Kwa mfano, labda mwalimu anaonyesha mtazamo mzuri juu ya changamoto za wanafunzi kama mwanafunzi anakosea na mwalimu anasema, “Haina shida, tunajifunza.” Lakini, badala yake mwalimu anaendelea kuwagombeza wanafunzi au kushindwa kuwavumilia wanafunzi wanapofanya makossa, hii itapewa alama za chini au wastani kutegemeana na kuangalia kipindi kizima. Lakini, kama hakuna tukio la mwalimu kuwa na mtazamo mbaya na mwalimu anaonyesha mtazamo mzuri mara moja tu, inatosha kwa tabia kupata alama za juu. (9.2) Mwalimu anaweza kuendelezaje yafuatayo: kuchukua maoni, kusisitiza, kudhibiti hisia, na kutatua matatizo ya umma? Mfano wa kuchukua maoni: Mvulana anakasirika kwa sababu wanadarasa wenzake wanamtenga kwenye mchezo. Mwalimu anahimiza kuchukua maoni kwa kumweleza mvulana kwamba labda wanadarasa wenzake hawakujua kwamba alikataka kucheza pia, halafu anamtilia moyo kuwaulizia kama anaweza kucheza. Mfano wa kusisitiza: Kikundi cha wanafunzi wanapomcheka mwanadarasa mwenzao, mwalimu anasisitiza kuonyesha hisia-mwezi kwa kuwauliza kufikiria wangejisikiaje kama wao ndio walikuwa wanachekwa. Mfano wa kudhibiti hisia: Mwanafunzi anapokuwa anakasirika, mwalimu anahimiza udhibiti hisia kwa kufundisha mwanafunzi jinsi ya kujituliza. Kwa mfano, labda anamwambia apumue pumzi zito au kuhesabu hadi 10. 54 Mfano wa kutatua matatizo ya umma: Kuna tatizo kati ya wanafunzi wawili. Mwalimu anahimiza kutatua matatizo ya umma kwa kutambua tatizo ni lipi, anapotambua wanafunzi wanajisikiaje, na anapendekeza kufikira pamoja utatuzi wa tatizo. Pia, mwalimu anaweza kutoa mfano wa kutatua matatizo ya umma; kwa mfano, mwalimu anaweza kuwaonyesha jinsi ya kumzuia mwonevu. Nifanyaje kama bado ninayo maswali? Soma, soma, soma mwongozo na haya maswali yanayoulizwa mara kwa mara. Kama bado unayo maswali, mulize mkufunzi wako au tuma barua pepe kwa teach@worldbank.org. Ni bora kabisa kupata jibu kwa maswali yako badala ya kudhania na kukosea uwekaji wa alama kwenye kipindi cha uangalizi. 55 “[Teach] ni kitu kimoja cha muhimu Benki ya Dunia imefanya ndani ya miaka thelathini iliyopita .” Eric Hanushek Paul and Jean Hanna Senior Fellow, Hoover Institution, Stanford University “Kabla ya Teach, ukosefu wa zana huru, nyumbufu, hatua za uangalizi zilizo rahisi kujifunza ambazo zinaweza kutumika kwa utaratibu madarasani zimekuwa kizuizi kikubwa katika jitihada za kimataifa za kuboresha elimu.” Sara Rimm-Kaufman Professor of Education, Center for Advanced Study of Teaching and Learning, Curry School of Education, University of Virginia “Teach inawakilisha uvumbuzu mkubwa katika jitihada zetu za kuboresha elimu kwa wote. Itakuwa kichocheo cha kuimarisha mafunzo duniani kote.” Oon Seng Tan Director, Centre for Research in Child Development, National Institute of Education, Singapore “Marekebisho ya Teach Primary yanakaribishwa sana kama zana muhimu ambayo huleta maarifa mapya kuhusu jinsi ya kupima utekelezaji wa ufundishaji jumuishi ambayo yatakuwa muhimu kwa kuangalia wanafunzi mwenye ulemavu darasani na kuifanya Teach kuwa zana muhimu kwa wanafunzi wote.” Charlotte Vuyiswa McClain-Nhlapo Lead Social Development Specialist, World Bank “Teach hutoa mwongozo bora wa uangalizi na viwango vya kimataifa vya maelekezeko darasani. Ni ya kuvutia, siyo tu katika ukamilifu wake lakini pia ufafanuzi wake, kutaja mifano muhimu ya utekelezaji darasani na kuelezea mifano halisi ya jinsi utekelezaji huo hufanyika katika hatua tofauti za ubora.” Heather Hill Jerome T. Murphy Professor in Education, Harvard Graduate School of Education; Creator of the Mathematical Quality of Instruction (MQI) instrument “Teach hutoa zana inayofaa kwa wakufunzi duniani kote ambao wanatilia uzito juu ya kuboresha ubora wa utekelezaji darasani.Imeundwa hasa kwa walengwa duniani, Teach imejengwa kutokana na utafiti mahususi na imejaribiwa kwenye nchi mbali mbali. Ingawaje, itifaki za uangalizi zimetumika kutathimini ufundishaji, uwezo wao mkubwa upo kwenye uwezekano wa kujenga maono sawa ya ufundishaji na kutoa maoni maalum kwa walimu jinsi ya kuboresha ufundishaji wao. Teach hakika itatoa fusa hizo za mafunzo kwa walimu na viongozi duniani kote.” Pam Grossman Dean and George and Diane Weiss Professor, Graduate School of Education, University of Pennsylvania; Creator of the Protocol for English Language Arts Teaching Observation (PLATO) instrument “ Teach imeundwa ikiwa na hali halisi ya Ulimwengu wa Chini. Maelezo ya wazi, mifano mizuri, na maswali/majibu (FAQs) inarahisisha ufafanuzi na inaleta uelewa kati ya waangalizi. Uraisi wa zana unakifanya kufaa kabisa kwa nia ya uchunguzi madarasani na pia kunasa ufahamu kwa ajili ya kuimarisha utekelezaji kwa mwalimu. Teach ni zana ya kwanza kabisa ya uangalizi darasani ambayo hunasa jitihada za walimu kukuza ujuzi wa kawaida.” Sara Ruto Director, People’s Action for Learning (PAL) Network Wasiliana nasi hapa teach@worldbank.org tutembelee hapa www.worldbank.org/education/teach